Wanajamvi habari zenu.
Twiga Stars wananiganda, najibandua naangukia kwao tena. Nataka veteran mwenzangu (24+)
Naombeni ushauri,
Mimi ni kijana wa umri uliokomaa kuoa sasa hivyo nataka kuanzisha michakato ya kuoa ingawa kikwazo kikubwa sipati wale mabinti ninaowataka isipokuwa wanajilengesha kwangu wasichana wazuri ila nawaona wadogo na nisioweza kuwaoa.
Nataka binti aliyepevuka mwili na akili, changamoto ni hawa Twiga Stars wananiganda kama ruba. Nikimpiga chenga huyu naangukia kwa yule.
Nifanyeje wadau?
Sent using Jamii Forums mobile app
Twiga Stars wananiganda, najibandua naangukia kwao tena. Nataka veteran mwenzangu (24+)
Naombeni ushauri,
Mimi ni kijana wa umri uliokomaa kuoa sasa hivyo nataka kuanzisha michakato ya kuoa ingawa kikwazo kikubwa sipati wale mabinti ninaowataka isipokuwa wanajilengesha kwangu wasichana wazuri ila nawaona wadogo na nisioweza kuwaoa.
Nataka binti aliyepevuka mwili na akili, changamoto ni hawa Twiga Stars wananiganda kama ruba. Nikimpiga chenga huyu naangukia kwa yule.
Nifanyeje wadau?
Sent using Jamii Forums mobile app