Katika upishi wa wali kitu kikubwa ni kujua ujazo wa maji,kama ni mpikaji ukipika kama mara mbili utakuwa umeshajua kipimo cha maji na mchele,baado ya hapo ni kama unamsukuma mlevi,ila kama ni wali wa nazi hapo napo kuna mambo ya ziada na kama pia ni pilau au biriano au mseto hapo napo kuna ya ziada,lakini kama ni huu tu wali wa maji basi ni timing ya maji Vs mchele