Gibeath-Elohimu
JF-Expert Member
- Jan 5, 2014
- 487
- 698
Kamanda pele domo gereji ,mswaki kutwa mara nane,limao na ndimu muhimu...chukua hiyo.
Piga mswaki kila baaada ya mlo
Vipi mdomo wako unasmell good lkn? Isijekua ni kama panya kafa afu unataka dada wa watu ameze mimate yako mkuu
si huwa mnasema for better for worse ...Vipi mdomo wako unasmell good lkn? Isijekua ni kama panya kafa afu unataka dada wa watu ameze mimate yako mkuu
Demu Anakinyaa ..asikupe shida.
Kama kashindwa kubadilika, basi badilika kwa ajili yake !!!!
Denda ni uzungu ,usikute unavuta sigara, pombe, tumbaku, bangi ,meno ya njanoo kama za jezi za wananchi.
Kwahiyo unanuka mdomo?Mjomba situmii kilevi chochote bangi sigara no na kils 6 mounth laxima nikasafishe meno kitaalamu hata upige mswak vp kuna uchafu hubak kwenye kinywa na aps nipo nshangaika nitafute pafyumu za mdomo
Download keyboard nyingine mkuu, au nenda settings za keyboard yako kisha zima auto correction na set kama hapo chini.Nilijua tu wrng mngezan mdomo wangu mchafu mm huwa narnda hsptal kusafisha meno kila miex sita mdeak napiga kils siku kiac kwamba naends kushoot video lkn mwenzangu wapi
Mmh !! Hapana na wala sitak hata kumsogezea najua hawexVp ananyonya dushe kwel mkuwa 6*6!!!anaumri gan?
Mmh worse zingine zinatia kinyaa😂😂
Ebu nipe jina la spray za mdomo maana mdomo unapitisha vitu ving chai maandaz viporo soda biskut karanga yaan balaa tupuWengne mdomo kuwa na harufu ni ugonjwa hata ufanyaje nimewahi soma na mtu WA hivyo kbs ni sawa na kijasho wengne hata aoge vp kiharufu kipo Tu hata atumie spray gani otherwise kuna watu hawapendi Mambo ya kunyonyana mate
Naenda hospital eleza Kwa Dr Kwa kinywa na Meno hiyo Hali upate tiba hata utumie nn huwez pata suluhisho ni sawa na Dada mwenye ugonjwa anayenuka mbususu eti aipulzie marashi anajichosha Tu nenda hsptl Mzee.Ebu nipe jina la spray za mdomo maana mdomo unapitisha vitu ving chai maandaz viporo soda biskut karanga yaan balaa tupu
Babe na ww... mbona mimi huwa hunifanyii hivo japo sipigi mswaki.Vipi mdomo wako unasmell good lkn? Isijekua ni kama panya kafa afu unataka dada wa watu ameze mimate yako mkuu
Aah wewe hata usipopiga mswaki mwaka bado you smell good babe, ila wengine midomo yao ni cheche😂Babe na ww... mbona mimi huwa hunifanyii hivo japo sipigi mswaki.