Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,418
- 32,516
Kila nikifikiria kuoa roho inasita kila nikipata mwanamke nikimwambia fanya hivi tukiwa kitandani anafanya hata kama alikuwa hanywi pombe nitamwambia kunywa atakunywa.
Mkiwa Sita kwa sita ukimfanya chochote atakubali tu.
Nikifikiria kabla ya kuwa na mm huwa wanafanya hvyo hvyo pia kwa wanaume waliokuwa nao
Au ndyo nisimchunguze sana samaki?
Mwaka huu nilikuwa nataka kabsa kuoa au nioe afu nipate michango ya harusi huko makazini kwenye vikundi afu nimkimbize mke
Mkiwa Sita kwa sita ukimfanya chochote atakubali tu.
Nikifikiria kabla ya kuwa na mm huwa wanafanya hvyo hvyo pia kwa wanaume waliokuwa nao
Au ndyo nisimchunguze sana samaki?
Mwaka huu nilikuwa nataka kabsa kuoa au nioe afu nipate michango ya harusi huko makazini kwenye vikundi afu nimkimbize mke