Kila mwanaume ninayempata namkifu mapema

Kila mwanaume ninayempata namkifu mapema

amanda cute

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2016
Posts
244
Reaction score
457
Najiuliza tuu hivi nini kilichopo akilini mwangu, maana kila napompata mwanaume namkifu mapema tuu baada ya kudo na mimi haswa napokua faragha nikakuta ni mvivu, hana mzigo wa haja, huwa namdharau sana hivi kwanini baadhi ya vijana wanakua walaini hivi? Yaani kabao kamoja tuu hoi kuendelea na round ingine inakua ndoto wanakua wabinafsi akimaliza tuu anageukia ukutani.
 
Shida yako ulianza kutoa mbwa ukiwa mdogo sana, sasa huko kumani kumepanuka sana kila libolo waliona dogo, kajaribu punda basi unaweza enjoy ukaachana na vibamia vyetu wainjoy mademu wanao jitambua.

Hahahhahahahahahhahaha JF hii siku hizi kiboko. Huko alipo anajuta kuibandika hiyo thread.

Sista aache kudharau watu na generalization sio nzuri, binadamu tumeumbwa tofauti na tunapaswa tushukuru kwa kila tulichojaaliwa nacho na Muumba. Yani mahitaji yanatofautiana, huku unadharau kibamia mwingine analia atakipata wapi.
 
pole sana hilo si tatizo ila kunapoelekea litakuwa tatizo kubwa sana...na mbaya zaidi huwezi kumpima mtu mwenye tango kwa kumuangalia...utalikuta jitu limejazia six park sijui kumbe ndo lina mzinga wa kibamia kama kidole cha mwisho chamsingi tafuta mr.right wako kisha mjenge unavyotaka wewe awe ila hawa wa kujaribu jaribu watakuharibu hisia za ngono bure mwisho wa siku hutopata raha kwenye tendo la ngono
 
pole sana hilo si tatizo ila kunapoelekea litakuwa tatizo kubwa sana...na mbaya zaidi huwezi kumpima mtu mwenye tango kwa kumuangalia...utalikuta jitu limejazia six park sijui kumbe ndo lina mzinga wa kibamia kama kidole cha mwisho chamsingi tafuta mr.right wako kisha mjenge unavyotaka wewe awe ila hawa wa kujaribu jaribu watakuharibu hisia za ngono bure mwisho wa siku hutopata raha kwenye tendo la ngono
upo vizuri sana
 
Kubwa au ndogo yote ni majaliwa tu la muhimu ni kujua jinsi ya kuitumia na kujipimia upendavyo lakini kubwa Katika yote ni hisia so kama huna hisia na huyo unaekutana nae hata kama anayo kama punda hutoenjoy
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom