B R A C E L E T
JF-Expert Member
- Nov 11, 2018
- 2,358
- 4,406
Njoo Nikuoe
Sio hivo mkuuUmepitiwa na Mabaharia kama wote alafu ndiyo unakuja kuolewa hapo ndipo tabu inapoanzia
Utamuheshimu vipi mtu usiempenda?Maisha ni rahisi sana.
Ni vile tu watu wanaamua kuyafanya magumu wenyewe.
Jukumu la Ke ni kutii/kumuheshimu Me, kupenda hicho ni kiherehere chako.
Ahahaaa ahahaa jamani mungu anakuonaNlivoona heading, eti kila mwanamke ana side mbili, nilidhani unazungumzia papuchi na tigo Miss Natafuta
Bibi zetu na mama zetu walikuwa wanaolewa na hata mtu asiyemjua. Silaha kubwa ni kutambua huyo ndio mumeo unapaswa kumuheshimu.
Kwaiyo tufate tu maagizo sio?Kiherehere cha wanawake kupenda kitawaliza, tena sana tu!
Mwambie tena akukome kabisa,ina maana hajui kwamba wewe ni bikira?
Na nyumbani kwenyewe ni aje kwangu mie mpenda chura!
Na upande mwingine ana wanaume kibaaao wanampenda na kumtaka hataki hata kuwasikia.sema wakati mwingine inabidi ujikaze kwa ajili ya maisha na watoto.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli, but kuolewa na mtu ambaye humpendi kabisa ni changamoto mkuu, ndyo mwanzo wa kusalitiana pia kama huko nje kutakua na unayempenda ujue, alafu kile ni kifungo cha Maisha,Bora ufungwe na unayempenda/mnapendana aisee.Bibi zetu na mama zetu walikuwa wanaolewa na hata mtu asiyemjua. Silaha kubwa ni kutambua huyo ndio mumeo unapaswa kumuheshimu.
Tafakari....
Utajifunza kumpenda ndoani.😀😀Ni kweli, but kuolewa na mtu ambaye humpendi kabisa ni changamoto mkuu, ndyo mwanzo wa kusalitiana pia kama huko nje kutakua na unayempenda ujue, alafu kile ni kifungo cha Maisha,Bora ufungwe na unayempenda/mnapendana aisee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mapenz yanavokoleaga hivyo yanaweza yakasubirishwa na kuwa na kipindi cha ku love na hate!Unakuta unampenda kwa vipindi tu!