JEKI
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 4,845
- 2,966
Umasikini kitu kibaya sana, jana nimemsikia mwenyekiti wa kijiji fulani akisifia mradi wa msitu una faida kwani wanakijijiji walitunza na kuja kuuza miti na kila mwanakijiji kuondoka na KITITA cha elfu kumi.
Jamani elfu 10 hapa mjini unafanyia nini? hadi mtu atambe kapata KITITA cha elfu 10, naomba ujumbe huu uwafikie wajumbe wa bunge maalumu la katiba, waje na katiba mwokozi kwa watu wetu vijijini, elfu 10 kwa watu kama kina mama la mama, Price, King'asti, miss chagga, @husniyo, utafiti, Kongosho ni ya kifurushi cha internet cha siku moja tu, wakati wenzao huko kijijini wakipata KITITA cha elfu 10 wataongea mwaka mzima.
Jamani elfu 10 hapa mjini unafanyia nini? hadi mtu atambe kapata KITITA cha elfu 10, naomba ujumbe huu uwafikie wajumbe wa bunge maalumu la katiba, waje na katiba mwokozi kwa watu wetu vijijini, elfu 10 kwa watu kama kina mama la mama, Price, King'asti, miss chagga, @husniyo, utafiti, Kongosho ni ya kifurushi cha internet cha siku moja tu, wakati wenzao huko kijijini wakipata KITITA cha elfu 10 wataongea mwaka mzima.