Lipa Kwanza
JF-Expert Member
- Jul 8, 2014
- 229
- 28
Jamani kila mtu anayalilia mapenzi tena kwa nguvu, akiyapata wengi wao wanaanza kulalamika na kutaka kuyakimbia.
Je, ni sababu ya tamaa, utoto,kutojipanga au nini? Hebu toa sababu moja na eleza kati ya mwanamme na mwanamke ni yupi anayeongoza kwa kulalamikiwa na mwenza wake.
Je, ni sababu ya tamaa, utoto,kutojipanga au nini? Hebu toa sababu moja na eleza kati ya mwanamme na mwanamke ni yupi anayeongoza kwa kulalamikiwa na mwenza wake.