kila mtanzania anadaiwa shilingi 856,000

kila mtanzania anadaiwa shilingi 856,000

Aisee !!!! hebu mnielekeze wakuu wapi naweza enda lipia deni langu na familia yangu kiujumla,nimeshauza baadhi ya mazao yangu nadhani yafaa sasa niuonyeshe uzalendo wangu kwa taifa kwa kulikomboa na hii aibu ya madeni lukuki👅

Kalipe waje wazichote na hizo nchi ya wafu hii.
 
Na kama magaga wataendelea kubak madarakan ujue den litaongezeka na kla mtanzania atadaiwa million kabisa...
 
Imepanda lini jamani........?......juzi juzi hapa si ilikuwa laki mbili........?..............au imebadilika na dola.............?
 
Imepanda lini jamani........?......juzi juzi hapa si ilikuwa laki mbili........?..............au imebadilika na dola.............?

Acha kuhoji we reta hera mura unauriza uriza nini wewe?
 
Nauliza tu jamani je naruhusiwa kulipa deni langu? Kama ndiyo wapi?
 
Hilo deni la 852,000 kwa kila Mtz wanalipia wapi nataka kwenda kulipa la kwangu kabla halijaongezeka.
 
Back
Top Bottom