Ananikosha huyu jamaa ni hazina tuitunze wadau
.anaongelea nni siko kwenye tv naomba kujuzwa wadau?Ananikosha huyu jamaa ni hazina tuitunze wadau
mbatia anashusha nondo itv.
Mbatia ni mbunge wa ccm kupitia tawi lake la nccr mageuzi
Hayo ni maneno ya mbatia kwenye kipimajoto ITV