Kila msichana ninayemtongoza ananikataa

Kila msichana ninayemtongoza ananikataa

Joined
Oct 31, 2017
Posts
26
Reaction score
35
Niko na miaka 2 tangu nimuache mpenzi wangu wa mwanzo, lakini baada ya hapo nashangaa kila mdada ninayemrushia kamba niwe nae anachomoa.

Sasa nimekua mpweke mpaka nahisi labda kumuacha yule msichana nilimuumiza sana akaniachia laana nisipate tena msichana mwingine.
 
Umemiss papuchi usiku wote huu! halafu umeaumua ufungue ID maalumu ili ufunguke! Inaonekana wewe ni mzembe kutongoza.

Hauna jinsi, mrudie tu ex wako. Mara nyingine hata matapishi husaidia kujaza tumbo.
 
Kumiss Papuchi kwa kipindi hiki ni uzembe mkubwa sana. Siku hizi mpaka 2nalazimishwa!!!!af ww unasema 2 years? Haliwezi kuwa gundu hilo.


#naenda_zimbabwe
 
Usipate shida ukiwatongoza waambie kabisa kwamba huwa natongoza lakini sikubaliwi
 
Pole mkuu jaribu kushusha viwango yaan watongoze wanawake wenye level za chiiini sana uone nao wakikukataa njo mpanda nikupeleke kwa mtaalam utakuwa umelogwa wewe.
 
Funga safari mpaka Zanzibar kuna kipande cha bahari maarufu sana kinaitwa NUNGWI, Kakoge pale nakuhakikishia nuksi ulonayo itakutoka na hutopata tena nuksi katika maisha yako.
 
Sipati picha ukienda kuomba urudiane na huyo dem uliyemwacha halafu nae akukatae, ndio utajua kwanini ndege haina reverse gear.
 
Kutongoza! Yani wewe mpaka leo unang'ang'ana na kutongoza tu?!, kutongoza zilipendwa mjombaaa. Sasa hivi hao wanawake wa kuwatongoza hawapo tena, mwanamke unamtongoza hata kucha hang'ati, yeye anakutumbulia mimacho mwanzo mwisho kama mjusi aliebanwa na mlango anasubiri wokovu wa msamalia mwema.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom