stickvibration
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 3,227
- 5,132
Wanajamvi wenzangu nimejaribu saana kufatilia MEDIAS zetu hizi, kila kona watu hawaishi kuilalamikia serikali yetu na kutoa kila aina ya kashfa kwa Mh, Rais wetu JPM na serikali yake.
Hawajajitambua kila wanapoibeza hii serikali ya awamu ya 5 ndipo wanapozidi kumpa kiki JPM
Hawajajitambua kila wanapoibeza hii serikali ya awamu ya 5 ndipo wanapozidi kumpa kiki JPM