afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,206
walioko kwnye ndoa maambukizo ni makubwa sana zaid y hiyo 1%.huoni mi nimepunguza kuliko ukienda kazin ukitoa mguu na wife nae anatoa mguu kuckojulikana.... sa c bora kuambia ili 2we waangalifu.
kwa hiyo nyie hamuamniniania??
Je mnapendana??
maana najua penye upendo pana wivu...
Je wewe husikii wivu mkeo akikwambia nili lala na fulani ??