Kila la kheri Zanzibar, bye bye Muungano!

Niungane na mwandishi kuwatakia maisha mema wenzetu wa visiwani kwani tumechoshwa na kelele zao.
 
Wazo zuri! tutakuwa tumefanya jambo jema sana kama tutawasaidia wazanzibari kuuvunja muungano, maana kelele zitabadilika kutoka zile za lawama mpaka kuwa kelele za kuomba msaada.
 
Mwandishi huyu ndio wale wanaitwa MAKANJANJA au rafiki yangu Dr Mwakyembe aliwahi kuwaita Bungeni kuwa ni UPE (uandishi pasipo Elimu).

Kwa wasijua maadili ya UANDISHI wengi wanaongozwa na USHABIKI ima wa kisiasa, kikabila au kiimani lakin pia anasukumwa na UBAGUZI na vitisho na dharau kwa jamii inayomsoma. jamii inawapasa kuwaogopa watu waandishi kama hawa kama wanavyo ogopa malaria.

Lula nasikitika sana kukwambia na kukukumbusha kuwa mTU MZIMA ATISHIWI NYAU. Nimekusoma vilivo na hoja zako dhaifu katika Gazeti la Raia Mwema.

Nakupa pole sana mwandishi lakin kumbuka DUA LA KUKU ...

Mwee barubaru usiishie kumlaani Lula na kumuita majina tu; wacha kulia lia, jenga hoja kwa nini Watanganyika tusiwasaidie Wazanzibari ala wanauamsho watoke kwenye muungano!? maana sasa imekuwa hadithi ya mfadhili mbuzi mzanzibari atakuudhi!
Lula I share your views very very strongly, tuwasaidie wazanzibari watoke kwenye muungano ili "wakale mkate na siagi na maziwa" watuachie watanganyika shida zetu!!
Inapofikia mjane wa muasisi Karume anatamka eti muungano wa nini! ujue hapo there is nothing to salvage kwa sababu yeye alitakiwa awe mtu wa mwisho kuulaani muungano ili kulinda legacy ya mume wake. Watanganyika hatujawahi kumsikia mama maria akilaani muungano licha ya kuufahamu fika udhaifu mwingi wa muungano wenyewe! hapana Tuwasiadie watoke, tumechoka na kelele na lalamo zisizokwisha. Go GO Wanauamsho!!
 
Kuitakia Zanzibar heri wakati kama huu wa majonzi katu si uungwana

Tuwaachie wenye wafu wazike wafu wao; tuwape bye bye watafarijika sana baada ya msiba na kujikuta ni taifa kamili bila gozi gozi za Tanganyika. Go Go Zenj
 
Hizo ni propaganda za kinyerere kwa lipi lakutishana na kusema z'bar ni kupe anae wanyonya watanganyika kama hujui ni wewe tanganyika inapa nini z'bar hebu nenda kawaulize viongozi wako wanaung'ang'ania huu muungano sisi tumeungana kama nchi mbili huru vipi makao makuu yote ya mambo ya muungano yaweko tanganyika halafu uelewa wako ni mdogo vipi utaifananisha z'bar na mtwara
 
Mwalimu Julius Nyerere amekuwa akisifiwa kwa kila kitu, hata mimi namsifia kwa yale mazuri hasa kunisomesha bure. Lakini ni mara chache sana kusikia mtu akizungumzia udhaifu wake. Kwa maoni yangu Mwalimu alikuwa na:-

  • Udhaifu wa kuwapendelea wachache. Kuunganisha nchi mbili zenye idadi tofauti ya wananchi kuwa na uwakilishi na sauti sawa bila kujali wengi wape. Suala hili limefanya Zanzibar kuwa na sauti kubwa bila sababu yoyote. Nchi kama Marekani "electoral votes" zinaendana na idadi ya wananchi wa jimbo husika. Hata Tanzania Bara (Tanganyika) ingawa wabunge wanachaguliwa kutoka majimboni lakini idadi ya wabunge kwa kila mkoa inatofautiana kulingana na idadi ya watu. Ikumbukwe kwamba aliendelea na udhaifu huo mpaka wakati wa usuluhishi wa vita vya Burundi alipong'ang'ania kuwa pamoja na kuwa Wahutu ni wengi lakini Watusi walio wachache wawe na sauti mpaka suala hilo likaja kutatuliwa na Mandela alipoingia kuwa msuluhishi. Mandela aliwambia Watusi waziwazi kuwa wasiiyumbishe nchi kwa uchache wao. Matokeo yake ndio ukawepo mkataba wa Arusha.
  • Udhaifu wa kujipendela yeye mwenyewe, (sio kwa mali bali kwa madaraka). Aliamua kuwa wizara zote za Tanzania Bara ziwe ndani ya Muungano. Hii hakuifanyika kwa bahati mbaya. Alijua kuwa yeye ndie angekuwa Rais wa Muungano, kwa hiyo hakutaka kuachia Wizara zisizokuwa za Muungano kwa bara ziongozwe na mtu mwingine, akaziweka zote kwenye Muungano. Akasahau (maana yeye kama sehemu ya viongozi wale wa zamani hakujua kwamba iko siku ataondoka madarakani) kwamba iko siku Mzanzibar angeweza kuongoza Serikali ya Muungano. Angeweza kabisa kuweka ndani ya masharti ya Muungano kuwa ikiwa Rais wa Muungano atatoka Zanzibar basi serikali yote ya Muungano ijumuishe wizara zote za Zanzibar na Mtanganyika aongoze wizara zisizo za Muungano upande wa Tanzania Bara. Matokeo yake ndio tunayoyaona kuwa Mzanzibar anaongoza wizara inayohudumuia Bara tu kwa kuwa wizara zote za bara ziko ndani ya Muungano. Kwa mantiki hiyo Mzanzibar anaruhusiwa kuajiriwa ndani ya Serikali upande wa Bara kwa kuwa hiyo ni serikali ya Muungano lakini Mbara (Mtanganyika) hawezi kuajiriwa ndani ya serikali ya Zanzibar kwa kuwa sio serikali ya Muungano na yeye sio Mzanzibar. Kisa hofu ya kumezwa na wengi.

Mambo haya naamini kama yangeliamliwa vinginevyo basi tungekuwa na mtafaruku kuhusu muungano kama tulionao sasa.
 
Abdulahsaf,
Tatizo la wengi wenu mnaandika vitu kwa jinsi mnavyofikiria nyie. Tatizo ni kwamba hamkuwepoo wakati wa Mapinduzi wala muungano isipokuwa mmesimuliwa. Muungano wetu na Zanzibar uliasisiwa hata kabla ya Uhuru wa Zanzibar ama Tanganyika. Ni mtazamo tofauti baina ya Nkurumah na Nyerere wakati Nkurumah akitaka Afrika kuungana kwa mara moja Nyerere asisitiza kwa awamu na taratibu akielewa tofauti za nchi na utengano wa makabila..

Hivyo wazo la muungano huu lilikuwepo hata kabla zanzibar haijawa huru sema tu ya kwamba viongozi wengi wa sasa hivi Zanzibar na Afrika kwa ujumla hawakupitia malengo na madhumuni ya chombo kilichokuwa kikiitwa Pan Afrinanism japokuwa bado ndoto ile ipo kinadharia tu.

Kuvunjika kwa Muungano wa Tnanzania na Zanzibar kunakamilisha hekima za mwlaimu kuonyesha kwamba swala la kuunda Afrika moja sii rahisi, tumeyaona Ethiopia ikijigawa na Eritrea, Somalia, na nchi nyinginezo ambazo tofauti zao za umaskini zimefikia kugawanyika kwao.

Hizi habari za kina Jussa watu ambao sijui kama wamekwenda shule ni watu wa kuwadharau kabisa kwa sababu pengine wanaelneza chuki kwa wajinga wengine lakini sii mtu kama mimi. Huwezi kusema ZXanzibar inacxhangia 50/50 na bara wakati fedha za serikali ni makusanyo ya kodi. Ni mtu alogubikwa na ujinga tu ndiye anaweza fikiria watu millioni 45 watachangia sawa na millioni 2 ikiwa makusanyo ya kodi yanatokana na watu hao.

Hivyo hata tuseme serikali ya muungano inachukua shilingi moja toka kila mlipa kodi, Zanzibar watachangia millioni 2 kulingana na idadi ya wananchi wake na Bara watachangia millioni 45 hivyo kuonekana 50/50 toka kila upande katoa kile alichokusanya. Hii haihitaji Phd kuelewa hili, lakini huyu huyu Jussa ameshindwa kusema kwamba japokuwa Zanzibar watachangia mil 2 hupewa zaidi mara mbili kufikia mil 4 wakati bara inabakiwa na mil 43 ambayo pia ni mali ya Jamhuri ya muungano na sii bara pekee maana kuna matumizi ya wizara (zilizo ktk muungano) wabunge na mawaziri kutoka Zanzibar wanaolipwa ktk serikali ya muungano..
Ujinga mwingine haufai kusimuliwa!
 
mwandishi huyu ndio wale wanaitwa makanjanja au rafiki yangu dr mwakyembe aliwahi kuwaita bungeni kuwa ni upe (uandishi pasipo elimu).

Kwa wasijua maadili ya uandishi wengi wanaongozwa na ushabiki ima wa kisiasa, kikabila au kiimani lakin pia anasukumwa na ubaguzi na vitisho na dharau kwa jamii inayomsoma. Jamii inawapasa kuwaogopa watu waandishi kama hawa kama wanavyo ogopa malaria.


Lula nasikitika sana kukwambia na kukukumbusha kuwa mtu mzima atishiwi nyau. Nimekusoma vilivo na hoja zako dhaifu katika gazeti la raia mwema.

Nakupa pole sana mwandishi lakin kumbuka dua la kuku ...
huyu mwandishi ni jiniasi. Ninauprint huu ujumbe wake na kuusambaza kila kona ya tanganyika halafu tuone matokeo
 
mwalimu julius nyerere amekuwa akisifiwa kwa kila kitu, hata mimi namsifia kwa yale mazuri hasa kunisomesha bure. Lakini ni mara chache sana kusikia mtu akizungumzia udhaifu wake. Kwa maoni yangu mwalimu alikuwa na:-

  • udhaifu wa kuwapendelea wachache. Kuunganisha nchi mbili zenye idadi tofauti ya wananchi kuwa na uwakilishi na sauti sawa bila kujali wengi wape. Suala hili limefanya zanzibar kuwa na sauti kubwa bila sababu yoyote. Nchi kama marekani "electoral votes" zinaendana na idadi ya wananchi wa jimbo husika. Hata tanzania bara (tanganyika) ingawa wabunge wanachaguliwa kutoka majimboni lakini idadi ya wabunge kwa kila mkoa inatofautiana kulingana na idadi ya watu. Ikumbukwe kwamba aliendelea na udhaifu huo mpaka wakati wa usuluhishi wa vita vya burundi alipong'ang'ania kuwa pamoja na kuwa wahutu ni wengi lakini watusi walio wachache wawe na sauti mpaka suala hilo likaja kutatuliwa na mandela alipoingia kuwa msuluhishi. Mandela aliwambia watusi waziwazi kuwa wasiiyumbishe nchi kwa uchache wao. Matokeo yake ndio ukawepo mkataba wa arusha.
  • udhaifu wa kujipendela yeye mwenyewe, (sio kwa mali bali kwa madaraka). Aliamua kuwa wizara zote za tanzania bara ziwe ndani ya muungano. Hii hakuifanyika kwa bahati mbaya. Alijua kuwa yeye ndie angekuwa rais wa muungano, kwa hiyo hakutaka kuachia wizara zisizokuwa za muungano kwa bara ziongozwe na mtu mwingine, akaziweka zote kwenye muungano. Akasahau (maana yeye kama sehemu ya viongozi wale wa zamani hakujua kwamba iko siku ataondoka madarakani) kwamba iko siku mzanzibar angeweza kuongoza serikali ya muungano. Angeweza kabisa kuweka ndani ya masharti ya muungano kuwa ikiwa rais wa muungano atatoka zanzibar basi serikali yote ya muungano ijumuishe wizara zote za zanzibar na mtanganyika aongoze wizara zisizo za muungano upande wa tanzania bara. Matokeo yake ndio tunayoyaona kuwa mzanzibar anaongoza wizara inayohudumuia bara tu kwa kuwa wizara zote za bara ziko ndani ya muungano. Kwa mantiki hiyo mzanzibar anaruhusiwa kuajiriwa ndani ya serikali upande wa bara kwa kuwa hiyo ni serikali ya muungano lakini mbara (mtanganyika) hawezi kuajiriwa ndani ya serikali ya zanzibar kwa kuwa sio serikali ya muungano na yeye sio mzanzibar. Kisa hofu ya kumezwa na wengi.

mambo haya naamini kama yangeliamliwa vinginevyo basi tungekuwa na mtafaruku kuhusu muungano kama tulionao sasa.
mwinyi waziri wa afya
vuai waziri wa ulinzi??????? What the......ck!
 
Mwandishi huyu ndio wale wanaitwa MAKANJANJA au rafiki yangu Dr Mwakyembe aliwahi kuwaita Bungeni kuwa ni UPE (uandishi pasipo Elimu).

Kwa wasijua maadili ya UANDISHI wengi wanaongozwa na USHABIKI ima wa kisiasa, kikabila au kiimani lakin pia anasukumwa na UBAGUZI na vitisho na dharau kwa jamii inayomsoma. jamii inawapasa kuwaogopa watu waandishi kama hawa kama wanavyo ogopa malaria.

Lula nasikitika sana kukwambia na kukukumbusha kuwa mTU MZIMA ATISHIWI NYAU. Nimekusoma vilivo na hoja zako dhaifu katika Gazeti la Raia Mwema.

Nakupa pole sana mwandishi lakin kumbuka DUA LA KUKU ...

Lula kawa Kanjanja? Makubwa. Ni kiboko. Tena ilitoka kabla ya rasimu ya katiba mpay. Hongera sana kanjana Lula. Mwache Barubaru aliye bora akukashifu lakini ajue kuwa wakibaki wao watauana kama kuku.
 
Kweli ,hivi muungano ukifa huko Tanganyika mtafanya kitu gani <yaani mtaendelea na serikali ya Muungano iliyokuwepo au mtaunda nyingine.

Tutaongeza nafasi za Ajira kwa Watanganyika kwa kuwafukuza Wazanzibar wote kuanzia Makamu wa Rais,Mawaziri,Wabunge,waliohodhi Viwanja na Wafanyabiashara Uchwara.
 
Muandishi ukisema maneno haya "Zanzibar inapewa upendeleo ambao hakuna eneo jingine lolote la Muungano linapewa" na mimi ninakuuliza hivi? Kwani mbeya imewahi kudai uhuru na kuwa nchi kamili na inakatiba yake?
 
"Sasa sisi watu wa Tanganyika (Tanzania proper) tunaweza kuwasaidia Wazanzibar kuondoka kwenye Muungano" na sio waznz wanawasaidia nyinyi watanganyika kudai Tanganyika yenu?
 
Lula kawa Kanjanja? Makubwa. Ni kiboko. Tena ilitoka kabla ya rasimu ya katiba mpay. Hongera sana kanjana Lula. Mwache Barubaru aliye bora akukashifu lakini ajue kuwa wakibaki wao watauana kama kuku.

Mbona nyinyi huku Tanganyika ndo mumeshaanza kuuwana?
 
  • Thanks
Reactions: lum
Mbona nyinyi huku Tanganyika ndo mumeshaanza kuuwana?

wakati wazanzibar hawaliwazi hilo wala halipo kwenye vichwa vyao..watanganyika walikuwa wanasema wazanzibar watauwana wakiwa na maana kuwa mawazo yao(watanganyika) ndio yanawatuma hivyo..tizama sasa aliwazalo mjinga ndilo linalomtokea...bomu la vitani linatumika kwenye uchanguzi wa diwani duuh!!wan'goana kucha,waombolezaji hawalii wanapigwa mabomu ya machozi waliee,nchi haitawaliki.wanauwa albino wapate udiwani. muungano haujavunjika tushaaza kupokea wakimbizi wa ngozi albino wanakimbilia zanzibar kutafuta usalama wao..
subirini sasa zanzibar ijitoe mutajua nyerere alimanisha nini? kwani tanganyika in tafauti gani na burundi,congo ,kenya si wale wale tu wakeketaji
 
Pumba,muandishi acha kupotosha uma,hizi ni nchi 2 tafauti,zanzibr na tanganyika zilikuwepo kabla ya muungano na zilikuwa kila moja na utawala wake,kama mliufuta utaifa wenu ni kwa upumbavu wenu wenyewe hamjalazimishwa,mtegemea cha ndugu hufa masikini,zanzibr kwanza longolongo baadae.
 
Waungwana,

Suala tulisikialo mitaani kila siku ni jee, zanzibar itaweza kuishi bila ya tanganyika? lakini hakuna anayeuliza au kohoji ikiwa tanganyika inaweza kuishi bila ya zanzibar.

wazanzinari wanahisi tanganyika haiiletei faida yoyote zanizbar bali hasara tu ikwemo ya maisha ya watu, wakati huo huo tanganyika wanaihisi zanzibar ni kama mzigo mzito walobebeshwa. Sijui lipi ni la ukweli hapa, uamuzi utakuwa nao wewe msojami.

hebu sasa tuyapimeni haya, faida na hasara za tanzania kwa tanganyika na kwa zanziabr.

hasara

1. zabziabr hasara yake kubwa ni kupoteza utafia wake, ingawaje kiti chake bado kipo huko UN,

2. tanganyika hasara yake kubwa ni kwamba, nchi yao kwa kijina imekufa kabisa, angalao zanzibar bado jina lipo. somehow one stupid guy killed jina tanganyika bila ya ridhaa ya watanganyika.

3. hasara ya pili ya zanzibar ni kwamba imekuwa ikitawaliwa kimabavu na mkoloni mweusi mwenje njaa na mlevi wa kutupwa, kwa jina la tanzania

4. ama kwa upande wa tanganyika hasara nyengine ni kwamba wanaambiwa nchi yao haina dini kumbe kichini chini nchi naongzwa na roman catholic

faida ya tanzania kwa both sides

1. hakuna kusafiri kwa visa wala passport baina ya zanizbar na tanganyika,

2. zanzibar inapata umeme wa bure kutoka tanganyika, najuwa wazi kwamba zanzibar inadaiwa ma milioni ya dola kwa umeme huo na haina nia ya kulipa hata dola moja

3. kwa tanganyika faida yao wanayoipata ni kuiba mali ya zanzibar kwa njia moja au nyengine, kwa kutumia kicha cha bank kuu na foreign affairs na TRA

sasa ukivunjka muungano ni nani kati yao atakaepata hasara zaidi na jee tanganyika itaweza kuishi bila ya zanizbar?

fikiria kufa kwa jina kma Tanzania na kufufuka kwa jina walojaribu kulizika miaka 50 sasa, tanganyika, kasheshe kweli kwa wana ccm, fikira kwamba misaada ya znz itakwenda moj amoja katika bank kuu ya znz na foreign affair ya italeta faida kubwa zaidi kwa znz kuliko sasa chini ya tanzania

lakini usafiri baina yatanganyika na zanizbar utakuwa bila visa na passport lakini id cards zitalazimika kutumika

imagine ikiwa tanganyika ikiwa haina tena say yoyote juu ya znz na uduni wao ukaishia chumbe, sijui itakuwaje
 
Mtoto akililia wembe Mpe! Kelele zao ndio zinatufikisha hapa. Najua watatamani serikali mbili ziendelee ili waendeleze ukupe wao but watakuja kushtuka wakati wameshachelewa. Bora kila mtu awe na kwao na rasilimali zake. Haiwezekani Changu ni Chetu wakati Chako ni Chako.
 
Back
Top Bottom