Hukumu ya rufaa yako ya kupinga kuvuliwa Ubunge ni kesho pale Mahakama ya Rufani ya Tanzania. Wewe ni Kamanda makini,mjenzi wa hoja,mpambanaji,mpigania chama,huna makundi,huongozi kakikundi cha wasaliti,hukeshi mitandaoni ila mikutanoni kwenye M4C pamoja na Makamanda wengine wa jeshi la ukombozi la CHADEMA.
Kesho utaandika historia.Utaionja ladha ya haki.Kwa lolote liwalo,tupo pamoja nawe. Kesho,utauvaa utu upya. Majaji watatu wa Mahakama ya Rufani watakuwa mboni ya haki yako kesho. Tunaombea waseme kama hivi " In the premises, we allow this appeal with costs...."
Ubarikiwe Kamanda Godbless Lema!