Kila kitu kilishapangwa

Unaweza kufanya KILAKITU kwa usahihi/ufasaha, ukakaza kwa asilimia zote 100, ukafata sheria zote, ukakwepa makosa yote na bado ukafeli kama kawaida. Haimaanishi una udhaifu, lkn maisha ndivyo yalivyo... Kila kitu kilishapangwa!
Kuna kitu umesahau kuwa wewe ndo umepanga kila kitu..
Mpka hatima yako..Kabla hujazaliwa
 
Unaweza kufanya KILAKITU kwa usahihi/ufasaha, ukakaza kwa asilimia zote 100, ukafata sheria zote, ukakwepa makosa yote na bado ukafeli kama kawaida. Haimaanishi una udhaifu, lkn maisha ndivyo yalivyo... Kila kitu kilishapangwa!
Hapana. Kamsome ‘Neville Goddard’ , , ‘Power of Imagination’. Life is highly fluid, unaiumba dunia yako kwa ‘Consiousness’ yako, ambaye ndiye Mungu ndani yako, hakuna Mungu nje ya wewe mwenyewe.

===========================


View: https://youtu.be/bKS_QIPet-k?si=oeS1tMWjDwJ1l5aK
 
Na wewe umesahau kitu kimoja, kwamba kila mtu anauwezo wa Kubadili sasa ‘Consciously’ kila alichokipanga.

(Neville Goddard - Imagination) , Teachings From ( Abdullah - Ethiopian Rabbi).
Yeah ni kweli!
Japo haiitwi kubadili inaitwa Kunegotiate!
Yaani kwakuwa kila kitu ulishakipanga Unachofanya ni Negotiation ya baadhi ya mambo in exchange of something..!

Kwa mfano:- kama maisha yakizidi kuwa magumu sana na ukitaka kuyapunguza makali yake unaweza kunegotiate kwa Kutoa misaada na kuthamini Sana yatima ba wasiojiweza na kutoa maisha yako kwa ajili ya kusaidia watu..

Kwahyo yatapungua makali..
 
Mimi nimepangaje wakati nimezaliwa tu bila kushirikishwa?
Wewe ndo ulipanga uzaliwe wapi, Uzaliwe na nani na uzaliwe sehemu gani, Wewe ndo uliamua haya mapito.unayopitia."Path life" uyapitia ili kufika "Destiny" uliyoamua..

Sasa baada ya kupanga hivyo Umekuja duniani ili upate funzo na Pia ujue kwanini ulichagua maisha hayo na kama utapata uwezo wa kujua hayo uweze kupunguza au kunegotiate Uchungu..

Kumbuka tu unapozaliwa mpaka kupika miaka miwili au Mitatu huwa unajua kabisa kuhusu Mambo hayo.. maana unakuwa umepigwa Partially Amnesia ila ukikua unapigea Totaly amnesia ni jukumu lako wewe kutafuta ukweli huo uliofichwa ndani yako...

Na Maelezo hayo yamehifadhiwa vyema kabisa (Kitabu chako upande wa kuume)
 
Yeah ni kweli!
Japo haiitwi kubadili inaitwa Kunegotiate!
Yaani kwakuwa kila kitu ulishakipanga Unachofanya ni Negotiation ya baadhi ya mambo in exchange of something..!

Kwa mfano:- kama maisha yakizidi kuwa magumu sana na ukitaka kuyapunguza makali yake unaweza kunegotiate kwa Kutoa misaada na kuthamini Sana yatima ba wasiojiweza na kutoa maisha yako kwa ajili ya kusaidia watu..

Kwahyo yatapungua makali..
Well, inaweza ikawa hivyo. Lakini mafundisho ya Abdullah kupitia mwanafunzi wake Neville, yanatoa nafasi ya kubadili chochote wakati wowote unconditionally kwa kuwaza (imagination) na kuamini tu (faith). Na hii mimi nimeprove personally , sio mara moja, sio mara 10, sio mara 100, mara nyingi mno.

Kuna wakati hadi najiona mchawi. Kuna siku niko chuo nimemaliza boom lote, nina njaa, nikakutana na hii theory, immediately, nikaweka neno ‘DON’ kwenye akaunti zangu za social media, i acted and felt as though i am a ‘DON’, kilichofuata hata sielewi.., hadi Maxence Melo aliniita DON, wakati hata sikuwahi kuwaza kuonana nae. It has been like that ever since, shukuru sana nakupa hii siri.

Nashangaa sana hawa akina Mwamposa na wenzake wanapojipa sifa na utukufu kana kwamba wana uteule flani hivi, ukweli wanaujua, (Wana Mastery ya imagination na faith, kuwa na imani na Mungu {Consiousness} ambaye hujawahi kumuona, na ukaamini kabisa kwamba anaweza sio jambo dogo, (muulizeni Kiranga) na hicho ndio wanachotushinda, imani yao ni kubwa mno!, hata hapa wapo wataniona kama kichaa, ni ngumu kuamini!) ….ila hawawezi wakausema maana ita waondolea umuhimu kwa yale wanayoweza kuyafanya, na ukweli ni huo, kwamba Mungu ni ‘Consiousness’ yako kichwani kwako, nje ya hiyo, hakuna Mungu mwingine, na Mungu ni mmoja tu. Ukiwaza (imagine) na kwa imani kuu (faith) ukakubali kwamba ulichokiwaza kimekuwa hata kabla hakijawa, basi huo ni uumbaji kabisa umefanya, na ni Mungu mwenyewe anafanya kupitia wewe. Na hapo ni kama ‘umeconceive’ kupitia hilo wazo, na unachotakiwa ni kusubiri ujauzito wa wazo ukue na kuzaliwa.

As a final testimony, last year, niliwaza na nikaamini without a shred of doubt (usimjaribu….), kwamba nina nyumba 30 hapa Dar, kwamba nachukua kodi tu, bila hata kuwa na cash wala kiwanja cha kujenga hata 2 tu at a go. Ila one year later, bila hata kujua imewezekanaje, na imekuwa.
 
Wewe ndo ulipanga uzaliwe wapi, Uzaliwe na nani na uzaliwe sehemu gani, Wewe ndo uliamua haya mapito.unayopitia."Path life" uyapitia ili kufika "Destiny" uliyoamua..

Sasa baada ya kupanga hivyo Umekuja duniani ili upate funzo na Pia ujue kwanini ulichagua maisha hayo na kama utapata uwezo wa kujua hayo uweze kupunguza au kunegotiate Uchungu..

Kumbuka tu unapozaliwa mpaka kupika miaka miwili au Mitatu huwa unajua kabisa kuhusu Mambo hayo.. maana unakuwa umepigwa Partially Amnesia ila ukikua unapigea Totaly amnesia ni jukumu lako wewe kutafuta ukweli huo uliofichwa ndani yako...

Na Maelezo hayo yamehifadhiwa vyema kabisa (Kitabu chako upande wa kuume)
According to science?

Au mimi nimezaliwa tofauti na watu wengine?

Sikumbuki chochote kuhusu kuchagua kuzaliwa katika familia fulani

Ila najitambua tu mimi ni mzaliwa wa familia fulani, ambapo kwangu kuzaliwa haikua option ila nimejikuta tu tayari nipo duniani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom