kikwetukwetu

Umekauka bhana nowadays naskia umejza mchanag tu, Umba River si ndio unaenda kwenye ile Mbuga ya wanyama kule Lushoto nimeisahau jina, hotateiiiii itabidi nirudi kidogo
Duh! Hapo tunajipanga kuogelea kwenye mto umba kule mlalo. Na ule mchanga kama baharini vile.
 
Umekauka bhana nowadays naskia umejza mchanag tu, Umba River si ndio unaenda kwenye ile Mbuga ya wanyama kule Lushoto nimeisahau jina, hotateiiiii itabidi nirudi kidogo

Ni kweli mkuu Elli ukisimama ndani xa maji yaishia kwenye nguyu tu. Nilipitaga enzi kidogo pande zile wakati huo twaenda umiseta wilaya pale Mlalo.
 
Last edited by a moderator:
Jambo la kusikitisha:wakikuwa wakipata nafasi nyeti za kutumikia umma--bado wanakuwa mafisadi tu....
 
Mkubwa mmoja tu hapo..chululu yake inaonekana kutokea nyuma...!!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…