Hili ni fundisho kwa vijana. Wazee hawa wanastahili kulipwa mafao yao kwa sababu ni haki yao. Lakini mwaka 1977 wengi wao walikuwa na umri wa chini ya miaka arobaini, ina maana walishindwa kutafuta kazi nyingine ambayo leo hii wangekuwa wanalipwa mafao yake? Kumbuka kuwa miaka hiyo kazi zilikuwa za kumwaga.
Binadamu tunapenda kulaumu wengine bila kufikiri kwa kina.
Unapotafuta chanzo cha matatizo yako cha kwanza jiulize je wewe mwenyewe sio chanzo cha matatizo yako? Kama sio then tafuta wa kumlaumu lakini vilevile tafuta ufumbuzi mwingine haraka iwezekanavyo, usibaki kulaumu,kulalamika hakutakusaidia chochote.