apolycaripto
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 644
- 250
Ukiwa Rais kiongozi Mkuu wa Watanzania baada ya Wawakilishi wetu (wabunge) nadhani
umetusikia huku mtaani (kimenuka).Wambie hao wanaodai tozo kuwa Watanzania tumekataa.Hii ndio kauli ya mwisho kwani ''sheria'' haitotunasua hivyo tusing'ang'anie huko na kupoteza hela zetu kwa ''rufaa''.
Talk straight badala ya kupoteza pesa zetu katika Mahakama ya Afrika.Ni dhahiri majibu yatakuwa yale yale ya ''kutotengua/pinga maamuzi ya Mahakama ya Kimataifa''.Sasa sisi tunasema hatulipi ''illegal''.Wataifishe mali zetu huko ili tuseme nao vizuri.
umetusikia huku mtaani (kimenuka).Wambie hao wanaodai tozo kuwa Watanzania tumekataa.Hii ndio kauli ya mwisho kwani ''sheria'' haitotunasua hivyo tusing'ang'anie huko na kupoteza hela zetu kwa ''rufaa''.
Talk straight badala ya kupoteza pesa zetu katika Mahakama ya Afrika.Ni dhahiri majibu yatakuwa yale yale ya ''kutotengua/pinga maamuzi ya Mahakama ya Kimataifa''.Sasa sisi tunasema hatulipi ''illegal''.Wataifishe mali zetu huko ili tuseme nao vizuri.