Mkuu nadhani mh.rais haoni tatizo kama timu yake ya usalam haina haiba ya kuendelea kuwa ktk nyadhifa walinazo,kuna uwezekano anashauri timu hii ya wanausalama i-deal na matukio kuliko source zinazosababisha ukosefu na uvunjifu wa amani nchini,lakini pia wakati mwingine twaweza kuwalaumu bure maofisa waandamizi ktk nafasi zao muhimu na kumbe twafaham tatizo ni yeye,muda wote yupo ziarani ughaibuni lini watafanya consultations na watendaji wake?na hata wakitaka kupata go-ahead kwake juu ya namna ya kudeal na mambo akionesha kutokujali wafanyaje?tatizo ni mh.rais mwenyewe na wala hakuna mchawi mwingine,mbegu hata za haya tunazozishuhudia sasa yeye ndiye mpanzi kwanini othman alaumiwe,au mwema ama zoka,huwezi kufanya usafi kwenye shamba pasi ridhaa ya mwenye shamba,yule ni boss wao akigoma kupokea ushauri wao wafanyaje?akitoa maelekezo yake wakatae na wanajua yeye ni boss,tatizo ni tuliempa dhamana na ambaye kama watz tuna mandate nae,hatuna mandate na othman,mwema wala zoka isipokuwa kikwete,kama hata muda wa kukaa nyumbani hana je kusikiliza matatizo ya wanawe na kutafuta majawabu sahihi atapata wapi.mkulu hajali kifupi hana uchungu wala uzalendo kwa nchi yake.