Msolopagaz
JF-Expert Member
- Jan 29, 2014
- 461
- 212
Gazeti la mwananchi siku si nyingi litafungiwa. Yan limejitoa akili mpaka kwenye sensitive ishu. Hili gazeti linatumika na wakenya ili hali ya nchi iharbike kama kwao. Skuiz wanaandika ishu yan from the beggining unajua imeegemea wap? Kiukwel kwa sasa kama mtu unataka gazeti ambalo ni neutral ni ngumu kupata. Yote siasa tu