Kikwete, Ukawa leo, Makanisa yaonya

Kikwete, Ukawa leo, Makanisa yaonya

jf siku hizi imevamiwa, tena hata si watoto wa shule bali wazee na mvi zao.

Hili jamaa lina mvi mpaka tigoni lakini hoja zake huwezi kuzitofautisha na mtoto wa chekechea.
 
Hili jamaa lina mvi mpaka tigoni lakini hoja zake huwezi kuzitofautisha na mtoto wa chekechea.

kikao hata kuketi hakijaketi ndo leo jk yuko Mvumi-Chamwino kuitimisha ziara yake it seems jumatatu ndo wataketi iweje ukawa waanze kupanga maazimio?? watu wengine bana basi tu
 
hongera viongizi wote wa wakatoliki kwa kukemea yanayoendelea huko dodoma., wakipuuza muhubirieni waumini kuikataa ccm uchaguzi ujao
acha udini, kanisani ni mahali Mungu ana abudiwa na kutukuzwa na siyo mahali pa harakati za mapinduzi ya kisiasa, acha upuuzi.
 
Hivi jamani niwaulize,Kwa nini huu umoja wa vyama vya upinzani kama vile inawakera watu fulani?.Maana kuna watu wakisikia neno UKAWA basi wanajiharishia kabisaaa...
 
Nimeacha kusoma mwananchi, sio lile nililolifaham. Linaandikwa dhahiri likiwa kuna kitu nyuma ya pazia kinachowapelekea kuandika hivyo.

Acha u.j.i.n.g.a nenda kwe thread yenye tamko usome kama wamepunguza au kuongeza. Vichwa vingine sijui ndio shule kata za siku hiz. We ni mweupe ka dheluji hata hujui ulisemalo. Wamenukuu tamko sijui ulitaka wanukuu nape au kinana ndio liwe tamko limetimia waandike?!! poor mind discuss pple rather than issue
 
Sizingumzii Habari, nazungumzia maudhui yanayotumika kuifikisha Habari yenyewe..... Kuna lengo baya linakuwepo ndani yake.

Ulitaka waandike kwa kufichaficha ili wasiwe na lengo baya. Wameandika kwa uwazi kilichozungumzwa. Lengo baya usemalo wewe ni lipi?? unazunguka zunguka kinafiki tu. kuwa wazi yaani wasinukuu tamko waandike yao au.
 
Raisi ataongea nini wakati yeye ndie alieanza kutoa maoni bungeni wakati wa akitoa hotuba ya ufunguzi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Wapo Maadui wa Tanzania wanalitumia Gazeti La Mwananchi kupandikiza Uadui Kati yetu watanzania.......

Wee ndio adui namba moja wa nchi hii ambaye unataka magazeti yasiseme ukweli. Ingekuwa habari ya makala ningekuelewa japo ningesoma.na kuchambua. Sasa hii ni taarifa tena tamko ambalo hata mimi nimelisoma liko kama walivyonukuu. Pia wamemnukuu msemaji wa ikulu sijui ulitaka wewe wapake habari hii mafuta gani isije kama ilivyo. We ungefurahi kuona wanaandika uongo au kinafiki. Wamesema huu si mkutano wa ukawa na ni kweli aliye itisha mkutano ni cheyo. Pia hivi unadhani ukawa wanaingia hawajakubaliana. Wewe ni p.m.b.i kabisa kwenye hili.
 
hawa wajukwaa sijui la nini si waseme tu wako upande wa ukwawa.kuliko kukaa wanatapatapa kila siku na matamko.
 
Sizingumzii Habari, nazungumzia maudhui yanayotumika kuifikisha Habari yenyewe..... Kuna lengo baya linakuwepo ndani yake.
lengo lao ni kumtisha Rais akubali matakwa ya ukawa.

Haya ndo maajabu ya mhashamu pasto kujaribu kumtisha Luten colonel.
 
acha udini, kanisani ni mahali Mungu ana abudiwa na kutukuzwa na siyo mahali pa harakati za mapinduzi ya kisiasa, acha upuuzi.

uroho wa madaraka ndo unawatoa akili hawa jukwaa sijui la nini. Yani tangu padre dr awaahidi akikamata madaraka watakula mema ya nchi jamaa hawashikiki,kila jumapili matamko.
 
Sitegemei kuwepo na muwafaka

Wengi tunajua hauwezi kupatikana muafaka wa jqmbo hili kirahisi kwani mchakato mzima ulikosewa au ulifanyika makusudi katika uteuzi wa wajumbe wa bunge maalumu la katiba. Pia tuelewe ccmhawakutaka katiba mpya na wala haikuwepo kwenye ilani yao ya 2010. Hivyo hawakufurahishwa na mwenyekiti wao kuwaambia watanzania kuwapabkatiba mpya. Mbaya zaidi maamuzi haya hayakupitia vikao vya chama. Kwa namna moja watekelezaji wa ccm wanafanya hivyo kwa shingo upande liende tu likikwama mbele ya safari wao wameshavuta mamilioni yao hasara kwa umma wa watanzania na lawama kwa alieibua hili.Nani asiejua nguvu walio nayo kwenye chama na hata kwenye baraza la mawaziri hawa waheshimiwa Wasira na Lukuvi. Nani asiejua kuwa raisi hana jeuri ya kuwaambia bunge la katiba kuwa sasa acheni mnayofanya na muanze kujadili rasimu ya wananchi ya serikali tatu na ambapo ndio muafaka ulipo kwa ukawa?. Na hata kama kapata maono na uthubutu mbona keshachelewa? Wenzake bungeni yameshamalizika kwenye kamati tunasubiri J'nne yaletwe bunge kamili na wananchi tuwaone live.Kuna jambo la wananchi kulielewa. Vyama vinavyounda TCD anayoongozwa kwa sasa na John cheyo ni vyama vyote vyenye wawakilishi bungeni kwa maana ya wabunge na ccm wakiwemo. Zaidi ya hapo vile visivyokuwa na wawakilishi wana uwakilishi wa kiongozi mmoja kwenye umoja huo nae ni bw. Dovutwa. Wajumbe(wabunge wa ccm) wao hawakususia bunge ila kuna walioacha kuhudhuria bunge la katiba na kuna walioondoka kimya kimya bila kuaga kwa kutoridhishwa na uendeshaji wa bunge hilo n.k.Sidhani kama raisi anahitaji muafaka nao.Sasa kuna haya majigambo na kebehi za huyu Salva Rweyemamu wa ikulu kuwa raisi atakutana na viongozi wa TCD na sio ukawa. Hivi kuna TCD bila ukawa katika kutafuta muafaka? Hivi hajui kuwa ukawa nao wana barua za mwaliko? Kwa maana hiyo raisi anatafuta maridhiano na Cheyo,Mrema na Dovutwa? Hakumuuliza mwenyekiti wa bunge maalumu idadi ya wabunge waliotoka nje ya bunge na ukawa? Kwa taarifa yake ukawa walitoka na wabunge 126. Hivyo muafaka bila ukawa isingewezekana. Kwa taarifa yake wananchi wanaelewa zaidi ya anavyowafikiria. Wala asijidanganye kuwa wapo viongozi wa kufikiria kwa niaba ya umma wa vijana wa taifa hili.Nasema muafaka/maridhiano ni jambo jema lakini sio kwa hatua hii ya kuchelewa ni vyema kikao chao kiuahirishe mchakato wa katiba kwa raisi ajae aendelee nao. Wakubaliane maeneo ya kufanya marekebisho kwenye katiba tuliyo nayo ili tuingie kwenye chaguzi zilizo mbele yetu. Yanayozidi hapo ni kuzidi kufuja hela na muda.
 
​sitegemei kipya hapa...akhsante ndugu yetu wa Korogwe kwa kutuletea hii
 
hongera viongizi wote wa wakatoliki kwa kukemea yanayoendelea huko dodoma., wakipuuza muhubirieni waumini kuikataa ccm uchaguzi ujao

maskini wee,wakisusia ndo iweje? Ukatoliki wenu ni enzi za kambarage sio sasa. Ota tu
 
Back
Top Bottom