Kikwete sio dhaifu

Kikwete sio dhaifu

Nteko Vano

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2012
Posts
434
Reaction score
113
Namuona JK kuwa sio dhaifu kutokana na usimamizi wake madhubuti katika mambo yafuatayo:Wizi wa EPA, Suala la richmond, Kuzuia tozo za kodi kwa makampuni ya madini, Kuchakachua kura 2010, Kukua kwa umaskini wa watanznia kwa kasi n.k.

Sasa mtu kama alisimamia mambo hayo kwa juhudi zake zote utamuita dhaifu? Mtu dhaifu anaweza kufanya hivyo?Labda hayo ndio yalikuwa malengo yake ya moyoni. Kwahiyo JK sio dhaifu.
 
Namuona JK kuwa sio dhaifu kutokana na usimamizi wake madhubuti katika mambo yafuatayo:Wizi wa EPA, Suala la richmond, Kuzuia tozo za kodi kwa makampuni ya madini, Kuchakachua kura 2010, Kukua kwa umaskini wa watanznia kwa kasi n.k.

Sasa mtu kama alisimamia mambo hayo kwa juhudi zake zote utamuita dhaifu? Mtu dhaifu anaweza kufanya hivyo?Labda hayo ndio yalikuwa malengo yake ya moyoni. Kwahiyo JK sio dhaifu.

N afya yakhe bukheri kabisa.........wala haanguki hovyo
 
Udhaifu ni weakness kwa kiingereza. Nakinyume cha weakness ni strength. Kila mtu ana weakness na thrength zake........ na laziba zibalance40/60, 50/50 or even 70/30. Sasa inategemea unapima katika jambo jipi. Sasa ngojeni Mnyika aje na kipimo chake then ttuone kama keli Rais na serikali yake wana weakness kwenye area flani flani.
 
kikwete ni dhaifu mzembe na goigoi na anaongoza serikali ya ccm legelege
 
Yaaah This presendent is weak, poco convincente,débil, flojo, ضعيف غير حكيم

Neno dhaifu alitoshi kwa huyu bwana kumuelezea inabidi tutumie na lugha za wenzetu
 
Naendelea kusema kuwa JK siyo dhaifu tu bali ni janga kwa Tanzania. Anti-development president. Kwa lugha rahisi ni kuwa ikulu imekaa na mtu goigoi kwa miaka nane sasa.
 
Namuona JK kuwa sio dhaifu kutokana na usimamizi wake madhubuti katika mambo yafuatayo:Wizi wa EPA, Suala la richmond, Kuzuia tozo za kodi kwa makampuni ya madini, Kuchakachua kura 2010, Kukua kwa umaskini wa watanznia kwa kasi n.k.

Sasa mtu kama alisimamia mambo hayo kwa juhudi zake zote utamuita dhaifu? Mtu dhaifu anaweza kufanya hivyo?Labda hayo ndio yalikuwa malengo yake ya moyoni. Kwahiyo JK sio dhaifu.

aaah!! kumbe! basi kweli si dhaifu bali JIZI KUU!
 
Wandugu tukubali tusikubali Kikwete si Dhaifu yeye mjanja sana na anacheza na gape, Katuona sisi ndo dhaifu na hivo anatumia udhaifu wetu kujinufaisha na wajanja wenzake. Ebu tutafakari kisha tuchukue hatua kuzidi kumwita dhaifu wakati ananeemeka na waliokaribu yake na mimi na wewe tunazidi kuionja joto ya jiwe huo ni udhaifu wa WaTZ kwa kushindwa kuwa na maono ya Kujikomboa. Unafikiri kama si kelele za chura kumwita dhaifu anapungukiwa nini? Wewe unakonda yeye anenepa! Tutajiju!
 
money cannot burry a person --- kikwete and his gangs are not wise enough because they are buried in their own little stinking smelling world. Had they know and have the knowledge of death, they would rather invest the country and its people's stollen money in their people to leave a memory and legacy. Stupid they are african leaders ---- blinded. Tunataka jukumu lote ifanyike ili pesa yetu wanaoweka nchi za nje kwenye maswiss banks, london bank irudi nchini kwetu.

I feel pity for them much as they have money but they are not happy. Masikini weeeee jamani.
 
kikwetu ni 100% dhaifu ---- this is the fact which cannot be avoided. Ccm pia ni dhaifu alafu tunaona jinsi ccm walivyo hovyo bungeni----- no sense of humour ya wabunge wa ccm
 
:embarrassed: EMBARRASSMENT KWA BUDGET YA CCM --- KWANZA HIYO BUDGET INA MATATIZO KIBAO. PHILIP MPANGO AS AN ECONOMIST SHOULD KNOW BETTER. ANAPELEKWA NA CCM OTHERWISE MPANGO NI ECONOMIST MZURI YAKUSIFIWA KABISA. HAWA WAKUBWA NA KIKWETE NDIO WANA HARIBU NCHI NA BUDGET HII. KIKWETE AJALI WANANCHI KABISA WALA NCHI HII KABISA KWA SABABU ANAJUA UKO KUZOA PESA ZETU KABISA.
 
Back
Top Bottom