TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,507
- 11,252
Angalia hii clip kwa umakini..
My Take:
1. Nimevutiwa na jinsi alivyokuwa anajenga hoja na kwa kutumia reference.
2. Ameongea kisomi zaidi na kwa muda mfupi amegusia mambo mengi. Kuna vitu nimejifunza kwa kuitazama hii clip.
3. Nimehamasika kuona jinsi alivyoshangiliwa baada ya kuingia uwanjani.
4. Body language yake alivyosalimiana na Mpinzani mwenzake Mbatia inafurahisha.
5. Hajiamulii nini cha kufanya, ana washauri na ameonesha kuwaheshimu, alivyoambiwa kukaa aongee na mtoto amekaa mara moja,, (marekebisho kidogo yanatakiwa kwenye kupangilia utaratibu wao). Ila kwa mbali sana ametofautiana na JK linapokuja suala la kuheshimu washauri. JK anasifika kwa kupuuza ushauri anaopewa (Rejea Kauli ya JK akiwa Mwanza baada ya kuishiwa nguvu na kuanguka!!)
6. Mungu ambariki huyu Bwana, ana umuhimu wake kwenye jamii yetu
My Take:
1. Nimevutiwa na jinsi alivyokuwa anajenga hoja na kwa kutumia reference.
2. Ameongea kisomi zaidi na kwa muda mfupi amegusia mambo mengi. Kuna vitu nimejifunza kwa kuitazama hii clip.
3. Nimehamasika kuona jinsi alivyoshangiliwa baada ya kuingia uwanjani.
4. Body language yake alivyosalimiana na Mpinzani mwenzake Mbatia inafurahisha.
5. Hajiamulii nini cha kufanya, ana washauri na ameonesha kuwaheshimu, alivyoambiwa kukaa aongee na mtoto amekaa mara moja,, (marekebisho kidogo yanatakiwa kwenye kupangilia utaratibu wao). Ila kwa mbali sana ametofautiana na JK linapokuja suala la kuheshimu washauri. JK anasifika kwa kupuuza ushauri anaopewa (Rejea Kauli ya JK akiwa Mwanza baada ya kuishiwa nguvu na kuanguka!!)
6. Mungu ambariki huyu Bwana, ana umuhimu wake kwenye jamii yetu
Last edited by a moderator: