ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,904
- 6,904
UN, imeunda jopo la watalaamu na wanasiasa maarufu kufanya uchunguzi wa kina juu ya utajiri wa AFRICA usioinufaisha AFRICA, bali ULAYA.
Taarifa ya UN ya awali inasema, AFRICA inapokea dolar billion 25 kama msaada lakini madini na rasilimali za AFRICA zinazopelekwa ULAYA, ni zaidi ya dollor bilion 50.
Jopo hilo, limejuisha mwanasiasa maarufu wa Africa kusini Thabo Mbeki, ndiye mweusi pekee aliyeteuliwa na UN kufanya utafiti huo.
SOURCE: BBC SWAHILI, habari ya 06:00hrs
Swali langu ni kwa viongozi wetu hasa rais wetu anayeamini kwenda nje, ni kutaufta misaada. Je anajifikiriaje kwa msimamo wa UN?
Washauri wake na wataeule wake, wamefanya nini kuiendeleza Tanzania iache kuwa ombaomba na kuwa na uchumi unaojitosheleza?
CCM, nini mnajivunia mmewafanyia watanzania kwa miaka 36 mliyokaa madarakani na kuuza utajiri wetu nje ya nchi mpaka UN inawashtukia?
Taarifa ya UN ya awali inasema, AFRICA inapokea dolar billion 25 kama msaada lakini madini na rasilimali za AFRICA zinazopelekwa ULAYA, ni zaidi ya dollor bilion 50.
Jopo hilo, limejuisha mwanasiasa maarufu wa Africa kusini Thabo Mbeki, ndiye mweusi pekee aliyeteuliwa na UN kufanya utafiti huo.
SOURCE: BBC SWAHILI, habari ya 06:00hrs
Swali langu ni kwa viongozi wetu hasa rais wetu anayeamini kwenda nje, ni kutaufta misaada. Je anajifikiriaje kwa msimamo wa UN?
Washauri wake na wataeule wake, wamefanya nini kuiendeleza Tanzania iache kuwa ombaomba na kuwa na uchumi unaojitosheleza?
CCM, nini mnajivunia mmewafanyia watanzania kwa miaka 36 mliyokaa madarakani na kuuza utajiri wetu nje ya nchi mpaka UN inawashtukia?