Kikwete ni nabii au mzugaji?

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,871
155,840
Nauliza hivi maana alitwambia kuwa TUKITAKA KULA LAZIMA TULIWE. Je alikuwa ana maanisha nini? Maana sasa Waingereza wamesema mpake tulane ndio tupate misaada. Lakini cha ajabu M'kwere kakaa kimya hataki kutoa tamko. Na jumatano anakuja Mtawala wa hao wanaotulazimisha Tuwasujudie mashoga.
 
Bujibuji acha kutoa mada ambazo hazina kichwa wala miguu, thread yako imekaa kimzahamzaha sana. JK alipozungumza hilo alikuwa anawatania na tena lilikuwa ni suala la kutangaza utalii wetu nje ya nchi. Matangazo hayo yalitolewa CNN, ndipo katika kuchombeza akasema gharama za matangazo yale ni kama kuliwa na siyo kukung'ung'utwa kama unavyotaka kukuhusianisha na wewe. Hivyo JK is neither msanii nor mzugaji.
 
hiyo ni tafsiri yako kama umezoea mambo mabaya si ajabu kutulazimisha wote kwamba JK alikuwa na maana ya tafsiri yako
 
wewe umetumwa kwa kazi maalum ya kutafsiri kauli za Jk kwa mtizamo wa waliokutuma umelipwa kiasi gani
 
Kila na jambo na wakati wake.Kwa wakati ule ni sawa alipokuwa anazungumzia gharama za kuitangaza tz na resources zake.Lakini kwa sasa mtu akizungumzia kuwa eti ukitaka kula ni lazima uliwe,huyo muangalie vizuri au kaa naye mbali huenda si riziki!
 
Bujibuji acha kutoa mada ambazo hazina kichwa wala miguu, thread yako imekaa kimzahamzaha sana. JK alipozungumza hilo alikuwa anawatania na tena lilikuwa ni suala la kutangaza utalii wetu nje ya nchi. Matangazo hayo yalitolewa CNN, ndipo katika kuchombeza akasema gharama za matangazo yale ni kama kuliwa na siyo kukung'ung'utwa kama unavyotaka kukuhusianisha na wewe. Hivyo JK is neither msanii nor mzugaji.
Mzee acha utani humu kuna watu wazima na akili zao wanakusoma na si kwamba ulisikia peke yako huo utani wa m,kwere alikuwa akimaanisha hivyo.
 
Kila na jambo na wakati wake.Kwa wakati ule ni sawa alipokuwa anazungumzia gharama za kuitangaza tz na resources zake.Lakini kwa sasa mtu akizungumzia kuwa eti ukitaka kula ni lazima uliwe,huyo muangalie vizuri au kaa naye mbali huenda si riziki!
Siwapendi watu wanaoelewa halafu wanachafua jukwaa ili kutaka kudhalilisha viongozi ambao kauli zao zilikuwa open.
 
unayetafsiri kauli visivyo pia unaweza kuwa si riziki

Kila na jambo na wakati wake.Kwa wakati ule ni sawa alipokuwa anazungumzia gharama za kuitangaza tz na resources zake.Lakini kwa sasa mtu akizungumzia kuwa eti ukitaka kula ni lazima uliwe,huyo muangalie vizuri au kaa naye mbali huenda si riziki!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom