Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,323
umesahau kwamba mpango uliopo ni kuunganisha ofisi za nchi nzima na hivyo ni lazima kuwepo na standards. Tanzania tunaanza na zero by the way ict si kuwa na computer & internet tu..
@green tech specialist
Nafikiri hapo ndio pazuri. Kwanza inatakiwa ziunganishwe hizo facility ndio aajiliwe mtu wa ku maintain na sio kabla installation.
nafikiri ni vizuri kufikiri kiuchumi zaidi na sio kisiasa