Kikwete na Utumishi, tangazeni na toeni ajira za maofisa ICT wa Mkoa na Wilaya

I think michango ya wengi hasa ambao wanasisitiza tutatue tatizo la umeme ndo tufikirie ICTs au kwanza tufute ujinga nd tufikirie ICT wapo kizamani sana na sidhani kama wana uelewa wa kutosha kuhusu ICT. Nani kakuambia ICT ni computer tu? Kwenye halmashauri labda kuna kompyuta mbili tu sababu hawaoni matumizi yake zaidi ya excel na word au internet. ICTs has a lot to offer kwenye nchi zinazoendelea. Matatizo ya umeme au maji isiwe ni kikwazo ya kutoitumia hii teknolojia. Ila hii teknlojia inafaa kuwa contextulized ili iweze kutumika regrdless ya matatizo ya umeme. Mfano hospitali kuna kompyuta amabayo inahifadhi data za wagonjwa. Lakini hiyo kompyuta ikiwa off sababu ya umeme itaonekana haina faida. It doesnt mean kwamba hatuwezi tuka adapt mfumo wa hio teknolojia kuendelea kutoa support hata kama uemem haupo. Simu za mkononi zinatapakaa kila mahali. Records could be uploaded kwenye simu ya mgonjwa computer ya hospitali inapokuwa off. hii inafanya kwamba records ziendelee kuwa accessible wakati wa treatment. Sasa solution kama hii inahitaji mabadiliko katika mfumo wa access control. Tukichukua mfumo wa ulaya hii system haitafanya kazi. Ila tukiadapt mfumo kutokana na context then access control mechanism zinaweza zikafanywa offline na online. Sasa unaweza kukuta ulaya hawajawahi kufikiria kitu kama hicho. Kwa hiyo naonga mkono hja ya kuwa na wataalamu wa IT kenye ngazi za wilaya. Lakini wasiajiri tu mtu ili mradi amesomea IT. Waajiri watu amabao ni wabunifu na wanaofikiria otside of the box. Maana ukiajiri mtu yeye anachojua ni ICT policies then hapo tutakuwa tumeajiri wanasiasa. Sisemi mtut hatakiwi kuwa na knowledge ya ICT policies ila nachosema ni mtu kuwa competence kwenye social na technical side za ICT
 
@Mdondoaji & barubaru, naona kama mnachanganya economics na ICT. Na pia naona mnatumia nguvu nyingi sana ku-address tatizo ambalo ni wazi na halihitaji PhD ya aina yoyote. Hebu tujiulize, Ni kweli Tanzania nzima haina umeme? Hakuna Wilaya ambazo zina umeme? Na kwenye Wilaya ambazo umeme unapatikana mfano Dar es Salaam 'leverage' ya ICT ikoje? anachojaribu kuongea Zing na Narubongo ni Leverage ya ICT.

Kwa taarifa nilizo nazo Mikoa yote Tanzania sasa hivi imeshaunganishwa kwenye mkongo wa Taifa! Kama ndivyo swali ni je, unatukimaje huo mkongo? Kwa maneno mengine mkongo (fibre optic) una faida gani na sisi Tanzania? tumevuna nini tangu tuwe na mkongo wa taifa? Kama kuna sehemu ambazo hazina umeme ni tatizo moja, lakini kwenye wilaya zenye umeme mambo yakoje baada ya kuwa na huo mkongo wa Taifa?

Hoja kwamba hakuna umeme ni kukata tamaa! Kutokuwepo kwa umeme Tandahimbia kunazuiaje kuimirisha ICT Wilaya ya Ilala? Kwa maneno mengine, serikali inaweza kuanza na Wilaya chache then wakapambua wigo huko mbeleni, lakini hatuwezi kukaa chini kusubiri umeme ufike kila kona ya nchi ndio tuanze sasa ku-exploit ICT! Mawazo kama haya hayatasaidia hata kidogo.

Ukipata nafasi soma sehemu ya report iliyoandaliwa na World Economic Forum.
Hii hapa:

1. Over the past decade, The Global Information Technology Report series, has become the most comprehensive and respected international assessment of the preparedness of economies to leverage the networked economy. This research provides a unique platform for public-private dialogue on best policies and for determining what actions will further national ICT readiness and innovation potential.

Through the evolved methodological framework of the Networked Readiness Index (NRI), The Global Information Technology Report 2012 measures the extent to which 142 economies take advantage of ICT and other new technologies to increase their growth and well-being. This year, Sweden tops the rankings, followed by Singapore and Finland.

Under the theme Living in a Hyperconnected World, the report features expert contributions that explore the causes and consequences of living in an environment where the Internet is accessible and immediate, where people and businesses can communicate instantly, and where machines are interconnected.

Last year, the report found that although African nations lagged the global mean of networked readiness, many nations showed a glimmer of hope across various sub-categories. The same remains true this year, although most African nations fell in the global rankings. As a region, Sub-Saharan Africa tends to do best in terms of government prioritization of ICT and impact of ICT on new services and products. Still, much of SSA can be found at the bottom of most sub-categories.


Africa summary (page 24-26):


The level of ICT readiness in sub-Saharan Africa is still very low, with most countries evidencing strong lags in connectivity because of an insufficient development of ICT infrastructure, which remains too costly. Low levels of skills that do not allow for an efficient use of the available technology add to the challenges these countries face if they are to increase ICT uptake. Moreover, most countries still suffer from poor framework conditions for business activity that, coupled with the above-explained weaknesses, result in poor economic impacts that hinder the much-needed transformation of the region toward less resource-extraction-oriented activities and higher-value-added production. Nine out of the last 10 countries in our sample belong to the region and the results evidence the digital divide the region suffers vis-á-vis more developed regions.

o Tunisia (50): Leads North Africa in the rankings. Government commitment to ICT plus good educational system, but worse affordability and infrastructure level.
o Mauritius (53): The only SSA economy in the top half of the rankings. Government has prioritized ICT growth – regulatory framework is in good shape. Infrastructure is lacking, but is becoming more affordable. Still, economic and social impacts of ICT access are low.
o South Africa (72): Dropped from 61st to 72nd in the rankings due to lack of skills availability and relatively high costs of access. The economic benefits of ICT are decent, but greatly outweigh social impacts.
o Egypt (79): ICT is very affordable (12th in world) and offers a range of services. However, the overall ranking is hurt by the lack of ICT uptake.
o Rwanda (82): ICT usage remains low due to expensive infrastructure and a lack of ICT skills. Business usage is much more common than individual ICT usage. PPPs are recommended to improve framework conditions.
o Morocco (91) and Algeria (118): Lag the rest of North Africa, especially in economic ICT metrics. Algeria has an unfavorable business environment for ICT growth.
o Cape Verde (81), Botswana (89), Kenya (93), Ghana (97), Senegal (100), The Gambia (101), Namibia (105), Zambia (109), Uganda (110), Nigeria (112), Malawi (116), Benin (117), Mozambique (120), Cote d’Ivoire (122), Tanzania (123): A similar story to other African nations – a lack of both skills and infrastructure.
o Zimbabwe, Cameroon, Lesotho, Madagascar, Burkina Faso, Swaziland, Burundi, Chad, Mauritania, and Angola: Range from 124th to 141st position and severely lack ICT conditions and ICT impacts.


Year-over-year NRI rank change:

All African nations except Cape Verde have dropped in networked readiness. Largest drops were The Gambia (25 places), Namibia (23 places), and Senegal (20 places). Other African nations only dropped slightly, but the indication is that ICT readiness in other global regions outpaced that in Africa.

o Tunisia (down from 35 to 50)
o Mauritius (down from 47 to 53)
o South Africa (down from 61 to 72)
o Egypt (down from 74 to 79)
o The Gambia (down from 76 to 101)
o Senegal (down from 80 to 100)
o Kenya (down from 81 to 93 after improving 9 places the year before)
o Namibia (down from 82 to 105 after improving 7 places the year before)
o Malawi (down from 105 to 116)
o Mozambique (down from 106 to 120)
o Uganda (down from 107 to 110)
o Mali (down from 120 to 126 after dropping 24 places the year before)
o Lesotho (down from 121 to 133 after falling 14 places the year before)
o Burkina Faso (down from 122 to 135 after losing 14 places in 2011)
o Mauritania (down from 130 to 139 after falling 28 places the previous year)
o Angola is now the SSA nation with the lowest networked readiness (down from 133 to 140).
o Swaziland (down from 134 to 136)
o Burundi and Chad held the final two spots of the 2011 report, but are now in 137th and 138th places, respectively. Of all 142 nations included in the report, only Yemen and Haiti rank lower in terms of overall ICT readiness.



Sub-Pillars (pages 324-381):

ICT adoption in North Africa and South Africa tends to match global norms in many areas. Rwanda and Senegal have governments that prioritize ICT and economies that respond to ICT. However, most SSA nations are lacking in all areas of ICT.

o 1.02. Laws relating to ICT – South Africa, Rwanda, Tunisia, Mauritius, Kenya are ahead of the global mean
o 1.06. Intellectual property protection – South Africa, The Gambia, Rwanda, Namibia, Botswana are above global mean
o 1.07. Software piracy rate – Of 107 nations with data, Zimbabwe is the second-highest (93% of installed software is unlicensed)
o 2.02. Venture capital availability – Above average in Kenya, Morocco, Tunisia, Rwanda, Egypt, South Africa, Botswana, Mauritius
o 3.03. International Internet bandwidth per user – very low in SSA, non-existent in Chad, Burundi
o 3.05. Accessibility of digital content – Senegal is highest in Africa (and only African country above global mean) at 64th. Burundi and Chad lag other nations by a large amount.
o 4.02. Fixed broadband Internet tariffs (monthly sub. charge (PPP $) – Malawi, Ethiopia, Swaziland are again bottom three: $1,248-1,420 (actually cheaper than last year)
o 4.03. Internet and telephony sectors competition index – Ethiopia is tied for least competition in the world
o
o 6.02. Internet users – Morocco leads Africa with 49% (49th place), then Tunisia 37% (71st place). All of SSA is in the bottom half globally, led by Nigeria at 28% (85th place).
o 6.03. Households with a personal computer – last place Rwanda at 0.5%. Ethiopia (last place a year ago) is now at 1.4%.
o 6.04. Households with Internet access – Benin is in last place, just behind Rwanda at 0.1%. No SSA nation is above 10%.
o 6.05. Fixed broadband Internet subscriptions – 14 African nations have below 0.1 subscription per 100 population. Only Mauritius is above 5%.
o 6.06. Mobile broadband Internet subscriptions – General lack of data for African nations
o 6.07. Use of virtual social networks – Tunisia (19th), Morocco (44th), Egypt (56th), Nigeria (66th), Mauritius (74th) are above the global mean. Burundi, Chad, and Ethiopia especially lag other nations.
o 7.02. Capacity for innovation – Tunisia (44th), South Africa (46th), Nigeria (54th), Tanzania (55th) all are ahead of the global mean. Angola has the lowest mark of any African nation.
o 7.04. Extent of business Internet use – highest in South Africa (46th), Senegal (50th), Kenya (70th).
o 8.01. Government prioritization of ICT – Rwanda ranks #3 in the world (only behind Singapore and Sweden). Tunisia (21st), Senegal (23rd), The Gambia (25th), and Cape Verde (26th) also lead on a global level. Interestingly, Mali is ahead of the global mean (54th place).
o 8.03. Government Online Service Index – Egypt (23rd), Tunisia (29th), Angola (63rd), Cote d’Ivoire (67th) round-out the upper half. Swaziland is in last place with an index of 0.00.
o 9.01. Impact of ICT on new services and products – Rwanda (39th), Senegal (43rd), Tunisia (50th), Nigeria (53rd), Kenya (56th), South Africa (57th), Mauritius (62nd), Cape Verde (65th) all are above the global mean.
o 9.04 Employment in knowledge-intensive activities – Still no data for most of Africa.
Nimeipenda jinsi ulivyoijenga hoja...
 
Najua JK na wanasiasa wengi wa CCM CDM CUF NCRR, etc wanatambua umuhimu wa TEKNOHAMA kuleta maedeleo ya uchumi na uboreshji huduma mbali mbai mbali za kijamii na upatikanaji wa taarifa .

Lakini maendeleo na ma mabadiliko ya kweli hayawezi kuja bila kuwepo na uongozi , usimamzi,uratibu na ushauri kutoka kwa watu wenye utaalam.

Ndio maana kwenye Mikoa na wilaya kuna maofisa wa kilimo, Elimu,Afyaa Uhandisi,Mifugo ,nk Sababu hiyo hiyo karne hii ni muhimu kuwa na maofisa ICT .Kwa kushirikiana na hao maofisa wengine kwenye Mikoa/wilaya hata mambo kama elimu yanaweza kusonga mbele kwa kasi

Kama Kweli CCM ,JK na wanasiasa wanataka Tanzania ifaidike zaidi na kutumia vizuri fursa za TEKNOHAMA na internet na miradi kama ya mkonga wa taifa iwe namanufaa zaidi basi ni wazi na muhimu kila mkoa na wilaya kunatakiwa kuwa na maofisa Wakuu mwenye utaalam wa mambo ya ICT. Bila hivyo faida Mkonga wa taifa na fursa nyingine zitaishia kwenye Internet cafe tu na kuisihia kuwaona wanasiasa wetu wakishilkilia Ipad bungeni.

Maenedeleo ya ya ICT hayabadiliki kwa bajeti kusomwa kwa Ipad au ukwenye kwenye dafatari......

  • Maedeleo ya ICT yatakuja pale shule isyokuwa na maabara kiwa na video/VIsual room yawanafunzi kuona experiment mbalimbali mbali ziizorekodiwa.
  • Maendeleo yata kuja pale makataba zisizokuwa na vitabu na zinazkufa kwa kutokuwa na machapisho latest zikiwanauwezo wakuapata machapisho ya afya,elimu,uhandisi kutoka maktaba za online duniani kwa muda muafaka


WAJIBU WA MAOFISA ICT WA MKOA NA WILAYA


  • Kwa utaalamu walionao watatakiwa kutoa ushauri kwenye taasisi za umma(Kama shule,Maktaba) hata binafsi jinsi gani wanaweza kufaidika na na TEKNOHAMA na jisni gani wanaweza kuwezesha. So far matamko mengi yanatolewa ni ya wanasisa na kisiasa. Vijana/Watu wenye uwezo na ufahamu wa haya mambo hawajapewa nafasi .Ndio maana tunasikia maneno kam kila mwanafuzi kupewa kopmyuta.....
  • Watatakiwa kutoa report za mafanikio na changamoto za TEHAMA katika kila mkoa au wilaya na mapendekezo nini kifanyike kiboreshwe
  • Watashirikiana na waratibu wahuduma hizi kama TRCA na watoa huduma kama makampu ni ya simu na ISP katika kuependekeza namna bora ya kutoa hduma mbali mbali

Hayo ni baadhi tu .......

Kaka nakubaliana na wewe ila tuanze na board ya ICT kwanza maana vyuo vya ICT vimekuwa vingi na itaitaji uthibitisho fulani wa madaraja mbalimbali ya ICT.Ila big up naunga mkono hoja.
Natumaini wewe ni CDM
 
Hivi kweli mnamshauri JK kuhusu ajira za ICT officers wa mikoa na wilaya? Sijui? Labda kama ingekuwa ni kuhusu ajira za wakuu wa mikoa na wilaya hapo mngesikilizwa haraka na mikoa na wilaya mpya zingeundwa watu wapate ajira.
 
I think michango ya wengi hasa ambao wanasisitiza tutatue tatizo la umeme ndo tufikirie ICTs au kwanza tufute ujinga nd tufikirie ICT wapo kizamani sana na sidhani kama wana uelewa wa kutosha kuhusu ICT. Nani kakuambia ICT ni computer tu? Kwenye halmashauri labda kuna kompyuta mbili tu sababu hawaoni matumizi yake zaidi ya excel na word au internet. ICTs has a lot to offer kwenye nchi zinazoendelea. Matatizo ya umeme au maji isiwe ni kikwazo ya kutoitumia hii teknolojia. Ila hii teknlojia inafaa kuwa contextulized ili iweze kutumika regrdless ya matatizo ya umeme. Mfano hospitali kuna kompyuta amabayo inahifadhi data za wagonjwa. Lakini hiyo kompyuta ikiwa off sababu ya umeme itaonekana haina faida. It doesnt mean kwamba hatuwezi tuka adapt mfumo wa hio teknolojia kuendelea kutoa support hata kama uemem haupo. Simu za mkononi zinatapakaa kila mahali. Records could be uploaded kwenye simu ya mgonjwa computer ya hospitali inapokuwa off. hii inafanya kwamba records ziendelee kuwa accessible wakati wa treatment. Sasa solution kama hii inahitaji mabadiliko katika mfumo wa access control. Tukichukua mfumo wa ulaya hii system haitafanya kazi. Ila tukiadapt mfumo kutokana na context then access control mechanism zinaweza zikafanywa offline na online. Sasa unaweza kukuta ulaya hawajawahi kufikiria kitu kama hicho. Kwa hiyo naonga mkono hja ya kuwa na wataalamu wa IT kenye ngazi za wilaya. Lakini wasiajiri tu mtu ili mradi amesomea IT. Waajiri watu amabao ni wabunifu na wanaofikiria otside of the box. Maana ukiajiri mtu yeye anachojua ni ICT policies then hapo tutakuwa tumeajiri wanasiasa. Sisemi mtut hatakiwi kuwa na knowledge ya ICT policies ila nachosema ni mtu kuwa competence kwenye social na technical side za ICT


Mimi nafikiri tuna uelewa tofauti katika suala zima la ICT na implementation zake. Kwa mimi ninavyoelewa unaposema Kuweka ICT facilities katika Halmashauri hii inahusisha Afisi ya Mkurugenzi (DED) na afisi za watendaji wake kama Mtendaji wa Kata ( Ward Exec Officer (WEO) na Mtendaji wa Mtaa/kijiji (Village Exec Officer (VEO).

Mimi mtazamo wangu ni kuwaunganisha wote hao DED, WEO na VEO katika mtandao mmoja wa network na hii inahusisha na kuwa na Server yao maalum ambayo itakuwa na Domain name yao pamoja na mail address zao. Mfano DED @ ilalamanicipal.go.tz.

Fikiria DED ana idara zisizopungua 7. kuanzia elimu, Afya, Klimo, Mifugo, Ardhi, Biashara, Utawala, Ujenzi , maji n.k. Na hizo zote zinawafanyakazi na wakuu wake wa idara.

Vile vile Afisi kama za Mtendaji Kata (WEO) nao ana watu kama hao katika ngazi za Kata.

Sasa utaona kwa uchache zaidi halmashauri iliyo na wafanyakazi wachache ina wafanyakazi wasiopungua 500. Sasa ni lazima ufikirie Cost za kupata Server za kuweza kuwa accomodate watu 400, Vile vile cost zake za Security katika Server hizo ikiwemo pamoja na Antivirus, Vile vile Hapa lazima apatikane System Admin wa kiongoza na kuendesha Server hiyo na vile Mtaalamu wa Network kuhakikisha afisi zote zinakuwa na Mtandao sawia ikiwemo pamoja na kuweza kushare sio tu files bali pia hata othr resourses nyingine kama printing etc.

Kuna cost vile vile za kununua computer zisizopungua 200 na printer si chini ya 40. Hapa vile vile tunaangalia cost za kufanya networking katika afisi za WEO ambazo zinakuwa mbali na ile ya Mkurugenzi. Tujaalie halmashauri hiyo ni ndogo ina WEO 10 na VEO 30. Na kwa kuwa hawa (WEO na VEO)wata access Server kutumia webpage ni lazima kufikiria kuwawekea antivirus kwenye PC zao.

Gharama za Server na Hizo Computer 200 na printer 40 na vingine kama Switches na mengine zita cost zaidi ya Milioni 500 za Kitanzania (Sheria za Tz haziruhusu kununu mitumba ya vifaa). Gharama za software na security mbalimbali kila mwaka ni zaidi ya shiling milioni 120. Hii ikihusisha kulipia gharama za Mtandao kwenye afisi za WEO, VEO na DED

Kumbuka kuwa Hii afisi iweze kujiendesha na kufanya kazi vizuri lazima iwe na watendaji wasiopungua 4 yaani Sys Admin, Network technicians 3. Lazima wawe na Gari lao la kuwawezesha kutembelea afisi za WEO na VEO kutatua matatizo mbalimbali. sasa chukua gharama za mishahara na other allowances na stahiki nyengine kwa mwaka.

Baada ya kuangalia cost ya yote hayo. Tujiulize je Mtandao huo unaleta faida gani kwa wananchi wenye kiu kubwa ya maendeleo ya Maji, Barabara, Madawa, Madawati katika skuli, vyumba vya madrasa, chaki n.k
Rejeo kwenye vyanzo vya mapato vya halmashauri zenu na linganisha na matumizi mnayotaka yaingiwe na halmashauri hizo.

NDIO MAANA NAWEZA KUSEMA HAKUNA HATA HALMASHAURI/MANISPAA YENYE DOMAIN NAME YAKE KAMA ded@temekemanicipal.go.tz. Hii ni kwa sababu gharama za kuendesha ni kubwa sana ukilinganisha na kipato na faifa zake kwa jamii.

Huo ndio mtazamo wangu mnaposema ICT wilayani. Nafikiri nyie mnachukulia ICT ni kuweka Kila Afisi PC na printer bila kufikiria gharama za kumaintain.
 

YEs JK kwakweli ameonyesha nia ya dhati Kisiasa .

Lakini hiyo nia ya dhati bila kuwa na wataalam katika ngazi ya ushauri au management ile hatua muhimu ya technical How to achive specific objective itakuwa ngumu au itakuja kwa kubatisha bahatisha.

Kuna watu wanasema hao watalaamu wapo.Sidhani kama wapo. Hawapo katila level ya uongozi. Kuna tofauti ya
majukumu wajibu na utendaji kati ya IT specialist na Regional Director of ICT wa mkoa. mmoja anaweza hata kuandika kiofisi ushauri kwa waziri mkuu au raisau hata Kuongea naye.

So nadhani Mipango kisiasa haijaishi lakini inakosa nguvu na msukumo na DIRA sababu hakuna structure sahihi
.

Hapa ni kuwatafutia watu kazi pasi na kujua anafanya nini.

Labda naomba utudadavulie. IT specialist wa jambo gani?
Data base, Networking, System analyst, System admin, Software developer GIS, au Design?


Vile vile kumbuka unapokuwa na Network hakuna haja ya kuwa na Wataalamu hao katika level ya Mkoa. Hao wote wanakuwa katika level ya Taifa yaani wanakuwa Wizarani na kwa kuwa Afisi zote za Mikoa zipo chini ya TAMISEMI basi huyo atakaa hapo.

Kwani ataweza kuaccess chochote kile kwa kupitia modem na line ya simu na kukirekebisha. Tachnicians tu ndio wanaokaa katoka vituo vidogo.

Angalia pia gharama za kumlipa mtu huyo na stahiki zake nyingine ukilinganisha na kazi zake hususan kwa Tanzania ambako hakuna miundombinu tayari ya ICT.
 
...................
Angalia pia gharama za kumlipa mtu huyo na stahiki zake nyingine ukilinganisha na kazi zake hususan kwa Tanzania ambako hakuna miundombinu tayari ya ICT.

Barubaru Kuna msemo unasema kama unadhani elimu ni gharamaa jaribu ujinga. Kama unadhani ni gharamai isyoyamuhimu basi hata JK asingekuwa anaimba TEKNOHAMA

Serikali ya JK na wanasia wengiwanajua umuhimu wa ICT. Thast good lakini hakuna tija kama hIzo gharama za miradi Mkonga wa taifa zikiishia kwenye internte cafe tu. Nimetoa mfano kuwa kuna watu hawana uelewa. Nimejibiza na mdondoaji kuhusu mifano kama Googlemap na elimu. Inawezekana kuna watuwa ardhi wanaramani za mikoa na wilayaziko makabatini hawajui kuwa kwenye karne hizi taarifa hizi zinatakiwa kuingizwa googemap.

Kuhusu gharama ya kumlipa hiyo ni issue nyingine. Mbona gharama za kuanzisha mikoa na majimbo zipo. Hii ya malipo ni hoja dhaifu . Na kuna sehemu nimetoa pendekezo wajaribu hata mikoa michache kwanza.

Kuhusu Miundombinu jibu nitarrudia tena natena. Kuna Fursa za ICT zilizopo zinazosubiri kutmika hazijatumika hata kwa 30%.Ni sababu hakuna wahusika wenye ufafahamu .


Na mwisho ICT sio kompyuta tu.
 
ma ICT ngazi ya mkoa wapo,tena wanaenda vema sana na technologia,na ni wasomi wazuri tu,je unafahamu kuwa kuna baadhi ya mikoa wameshaanza hata kufanya majaribio ya E-conference?fuatilia utajua.mimi nina ushahidi na hili.

Ushahidi wako mbona umekaa kisiasa zaidi?
Kwanini usiseme ni mkoa gani huo ili ukamatwe uongo?
Siasa ndizo zinarudisha nyuma kila kitu nchi hii.
 
Barubaru Kuna msemo unasema kama unadhani elimu ni gharamaa jaribu ujinga. Kama unadhani ni gharamai isyoyamuhimu basi hata JK asingekuwa anaimba TEKNOHAMA

Serikali ya JK na wanasia wengiwanajua umuhimu wa ICT. Thast good lakini hakuna tija kama hIzo gharama za miradi Mkonga wa taifa zikiishia kwenye internte cafe tu. Nimetoa mfano kuwa kuna watu hawana uelewa. Nimejibiza na mdondoaji kuhusu mifano kama Googlemap na elimu. Inawezekana kuna watuwa ardhi wanaramani za mikoa na wilayaziko makabatini hawajui kuwa kwenye karne hizi taarifa hizi zinatakiwa kuingizwa googemap.

Kuhusu gharama ya kumlipa hiyo ni issue nyingine. Mbona gharama za kuanzisha mikoa na majimbo zipo. Hii ya malipo ni hoja dhaifu . Na kuna sehemu nimetoa pendekezo wajaribu hata mikoa michache kwanza.

Kuhusu Miundombinu jibu nitarrudia tena natena. Kuna Fursa za ICT zilizopo zinazosubiri kutmika hazijatumika hata kwa 30%.Ni sababu hakuna wahusika wenye ufafahamu .


Na mwisho ICT sio kompyuta tu.

Zing,

Ingawa sipo Tz lakin nimekuwa nikija mara kwa mara na kusoma habari zake kila wakti na kujua nini kinaendelea.

Kuna kitu kilizungumzwa muda mrefu sana cha MRADI WA MABASI YANAYOKWENDA KASI. Na upembuzi yakinifu ulifanywa zaidi ya miaka 20 iliyopita. Je mpaka leo umeanza? Je unajua kwa nini?

Samahani sana kwa kusema hili. WaTz ni wazuri sana wa kuzungumza lakin si wa kutenda. Unapozungumzia mradi wa mabasi ya kwenda kasi unawezekana pale ambapo tayari njia zake zimeshawekwa. Kwa hivi sasa kutokana na misongamano ya jiji hilo sifikirii kama mradi huo utawezekana bila kufikiri kutanua njia hizo au kuweka njia za juu.

Nikirudi katika hii ICT ni vizuri kwanza kujenga miundombinu madhubuti na kisha kuwa darsisha watumiaji kisha kuingia katika mfumo mzima. Ndio maana hapo awali nilikupa mchanganuo mzima kitaalamu na kuona cost implecation zake kwa jamii zenu ukilinganisha na shida mlizonazo za madawa, madawati, vyumba vya madarasa, zahanati n.k ndipo nikafikia hitimisho kuwa Kwa TZ kwa sasa bado si kama napinga napenda sana kwani hata sisi huku tunatumia kitu hicho.

Lakin vile kumbuka Bado Tz hakuna wasomi wazuri katika taaluma hiyo ya ICT kwani wengi mnapata misaada kutoka nje. Mfano Mwanangu mimi wa pili ni mtaalamu wa IT na amebobea katika masuala ya GIS akiwa amesomea Norway shahada yake ya pili amekuwa mara nyingi sana akija TZ. Kusaidia suala hilo na consultant wa Project ya Wizara ya Afya Muungano katika mpango wao wa kuunganisha wilaya zote katika taarifa za afya (DIGS) ambao unafadhiliwa na Norway. Na vile amekuwa akifundisha Part time UDSM wanafunzi wa course ya Masters of Health Informatics katika somo la health Informatics na GIS.

Kila wakti anasema kuna data nyingi sana Tz mnazo lakin hamjui namna ya kuzitumia na nyingi sana zipo Library bila matumizi. Kwa hiyo kuna kazi kubwa sana watu wa huko kusoma sana IT na kubobea na kujikita katika mambo ya kitaalamu zaidi sio kuwa na IT wa first degree ambao hawana specilization na kubobea.

Siku zote kama mtu wa Finance nasimama kwa vipaumbele. Gari yangu inapokosa mafuta na upande mwingine nyumbani hakuna chakula au mtoto anaumwa nahitajika kununua dawa basi nitaacha gari kuweka mafuta na kupata chakula au kununua dawa za mtoto. Mimi nitapanda public bus kwenda kazini.

Kumbuka kuwa lazima kuwa na kipaumbele kwanza kisha kufanya upembuzi yakinifu kabla kuanza kufanya jambo lolote. Kumbuka kuwa fikra na mdomo siku zote zinataka na kutamka mambo mazuri ya kuigeuza Tz kama Ulaya.

narudia tena sipingani na wewe kuhusu uwepo wa ICT officers katika level ya wilaya lakin nakwambia kwa sasa BADO kwani hakuna miundombinu tayari na gharama zake kubwa ukilinganisha na faida kwa jamii hizo za vijijini. KUMBUKA MPAKA SASA NI WA TZ MILIONI SITA TU NDIO WATUMIAJI WA ICT FACILITIES na POPULATION YENU NI MILIONI 45. Je hao milioni 39 mtawaweka wapi.

Elimu ni muhimu sana kwa jamii kuanza kufundisha taalumahii katika skuli za msingi na sekondari ili kuijuza jamii na vile vile kuweka miundombinu bora kwa mawasiliano ikiwa pamojana upatikana wa umeme wa uhakika katika level za kata na vijiji.

Hapo awali nilikuuliza kuwa ni
IT specialist wa jambo gani? unaotawa wewe awekwe Wilayani?
Data base, Networking, System analyst, System admin, Software developer, GIS, au Design?


kazi njema

 
Wakuu, naomba nitoe mfano wa status ya ICT kwenye Wilaya yangu (Makao Makuu) halafu mjadili kuanzia hapo, hasa mkizingatia masuala ya Mgt na Technical:

  1. Kompyuta zilizopo Wilayani = 50 (Desktops & Laptops)
  2. Kompyuta zilizounganishwa kwenye Internet = 25
  3. Mifumo (Applications/Systems) iliyopo = LGMD, PlanRep, LNIS, IFMS (Epicor), HCMIS (Lawson), Website (local), E-mail (Local) na Internet (WiFi & Ethernet)
  4. Tayari Wilaya imeunganishwa kwenye Mkongo
Changamoto/Matatizo (kimaendeleo): Umeme kata 10 kati ya 28, Elimu (Sekondari) = Waalimu wachache (Shule nyingi hazina kabisa walimu wa Sayansi, hasa shule za kata), Afya = Madaktari wachache (baadhi ya Zahanati hazina wataalam kabisa) na Vitendea kazi duni/hakuna kabisa, Wilaya kukumbwa na uhaba wa chakula wa mara kwa mara na kulazima Serikali kuleta chakula cha msaada, Wilaya kutokuwa na maji safi na salama kabisa!

My take: ICT ikitumiwa ipasavyo inaweza ku-address changamoto/matatizo haya kwa kiasi kikubwa na hivyo kuchochea maendeleo kwa jamii husika. Utumiaji mzuri wa ICT unaenda sambamba na uwepo wa Wataalamu.
 
Kinacho maanishwa na Mh; zing ni uboreshaji katika secta ya uchumi kwani kila mwana maendeleo hujadili maendeleo na mpinga maendeleo si mwana maendeleo je wewe uliye na wadhifa wa wana uchumi uliye ajiriwa unapinga kwa kutuoa point pmba kaaukijua uliyo yaongea uepotosha umma na kukatisha tamaa vijana je unataka tuliochukua taaluma ya ICT tule wapi?
 
Kinacho maanishwa na Mh; zing ni uboreshaji katika secta ya uchumi kwani kila mwana maendeleo hujadili maendeleo na mpinga maendeleo si mwana maendeleo je wewe uliye na wadhifa wa wana uchumi uliye ajiriwa unapinga kwa kutuoa point pmba kaaukijua uliyo yaongea uepotosha umma na kukatisha tamaa vijana je unataka tuliochukua taaluma ya ICT tule wapi?

Mimi nakushauri nenda shule zaidi kwa kuongeza ujuzi.

Nakushauri some masters in Health Informatics (Hata UDSM wakishirikiana na Muhimbili University wanaitoa. Au bobea kwenye speciality ya GIS. Hizi zinalipa sana kwani mimi namuona mwanangu anatesa sana na taaluma hizo. Vile vile course ya database design si mbaya kama utajikita katika Monitoring and evaluations.

Huo ni ushauri wangu kwako. Msingi mkubwa shule ni muhimu sana.



 
Wakuu, naomba nitoe mfano wa status ya ICT kwenye Wilaya yangu (Makao Makuu) halafu mjadili kuanzia hapo, hasa mkizingatia masuala ya Mgt na Technical:

  1. Kompyuta zilizopo Wilayani = 50 (Desktops & Laptops)
  2. Kompyuta zilizounganishwa kwenye Internet = 25
  3. Mifumo (Applications/Systems) iliyopo = LGMD, PlanRep, LNIS, IFMS (Epicor), HCMIS (Lawson), Website (local), E-mail (Local) na Internet (WiFi & Ethernet)
  4. Tayari Wilaya imeunganishwa kwenye Mkongo
Changamoto/Matatizo (kimaendeleo): Umeme kata 10 kati ya 28, Elimu (Sekondari) = Waalimu wachache (Shule nyingi hazina kabisa walimu wa Sayansi, hasa shule za kata), Afya = Madaktari wachache (baadhi ya Zahanati hazina wataalam kabisa) na Vitendea kazi duni/hakuna kabisa, Wilaya kukumbwa na uhaba wa chakula wa mara kwa mara na kulazima Serikali kuleta chakula cha msaada, Wilaya kutokuwa na maji safi na salama kabisa!

My take: ICT ikitumiwa ipasavyo inaweza ku-address changamoto/matatizo haya kwa kiasi kikubwa na hivyo kuchochea maendeleo kwa jamii husika. Utumiaji mzuri wa ICT unaenda sambamba na uwepo wa Wataalamu.

Nilipo RED.

Anahitajika mtu aliyebobea katika masuala ya Monitoring and Evaluation ili kufanya mambo hayo na sio wa ICT.

Lakin vile vile kumbuka kuwa nia ya ICT katika wilaya ni kuwaunganisha DED na watendaji wake wa Kata (WEO) na wale wa Mitaa/ Vijiji (VEO) ili aweze kupata yale yanayotendeka katika Halmashauri yake na na kukamilisha ile dhana nzima ya Serikali za mitaa.

Mtandao huo utakuwa hauna maana kama utakuwa katika ofisi ya DED pekee pasipo kuwa na mtandao katika afisi za watendaji wake wa Kata (WEO) na VEO.
 
Siungi mkono hoja, hii itaongeza mzigo kwa serkali. Hawa maafisa habari utamaduni na maichezo ndio wawe na kazi yakuintergrate informations toka idara zote ktk wilaya na kuziweka kwenye soft copy. pia watengeneze na update website ya wilaya c ndo kazi ya habari. Kama ni incompetents ondoa weka new blood

Ee bwana msaidie mtu huyu apate uwezo wa kufikiri japo kidogo kama mbuzi
 
Zing,
Hapo awali nilikuuliza kuwa ni
IT specialist wa jambo gani? unaotawa wewe awekwe Wilayani?
Data base, Networking, System analyst, System admin, Software developer, GIS, au Design?


kazi njema


BAru baru

mbona maswali yako nimeeleza na nimeyayoea majibu toka mwanzo . Hao ICT speaciist sio tu Database,Networking auu software deveopment . Nitarudia tena kwa kunukuu niliyoleza labda utaniewa .


Kwanza usiffikirie sana from technical side(Dataase, Programming etc) Mimi naongelea zaidi from application side of ICT.
.............Lakini maendeleo na ma mabadiliko ya kweli hayawezi kuja bila kuwepo na uongozi , usimamzi,uratibu na ushauri kutoka kwa watu wenye utaalam.

Hawa watalaam wa ICT ndio kazi yao itakuwa kushirikiana, kutoa ushauri na mapendekezo kwa taasisi mbali mbali za umma na binafsinaviundi mama bora zaidi ya kunufaikana na ICT. Katika mazingira fulani

Unaweza Kuuliza kivipi.Nimetoea mfano

  • google map-Ramani ya tanzania bado iko makabatini wakati kuingiza details ni bure.Utasema bado hatuna umeme?sasa wataalama kama hawanawa ICT ndio watashrikianaa na kushirikana na watalmu wa sekta nyingine( Kwa hii google map ni ardhi) mambo kama haya yafayiwe kazi
  • Nimetoa mfano wa elimu wa kurekodi practical za sayansi kwenye video. Tunakubalina video sio lazima iwe ya kanumba tu. Mapaka leo hata daresaaam jangwaniaa utambaaza bado mwanafuzi anakariri experimet ya manufacture ofsulphuerkwa maandishi.Miundo mbinu gani jangawani.,tambaza auinodonisecdnary wanasubiri zaidi ya awareness na cordination. Sio lazima internt
  • Nimetoa mfano wa maktaba
  • Wana saccos watabora au singida wanweza kuwa wanazalisha asali mbichi yanyuki lakini hawajui namna ya kupata soko bora la nje.Hawawataamandio kaziyokutoamwanga na kuwasadia.Elewa mtaalam kazi yake Sio kuwatafutia soko lakini kuwaelekeza namna mbalimbali wanazoweza kutumia kutafuta masoko ya nje kutumia fusra za ICT. Yaaaani awareness

Haya Tukija kwenye hizo database networks,Proggramming Huko nako wataaamwatakuwana input.Niliandika hivi

Watashirikiana na waratibu wahuduma hizi kama TRCA na watoa huduma kama makampu ni ya simu na ISP katika kuependekeza namna bora ya kutoa hduma mbali mbali

Sasa hivi hakuna link na cordination kwenye haya mambo . japo serikali imewekeza na inawekeza sana .Ndio manaa nimesema faida ya uwekezaji itishia kwenye internet cafe wakati kuna fursa ya kupata faida kubwa zaidi.
 
Elimu (Sekondari) = Waalimu wachache (Shule nyingi hazina kabisa walimu wa Sayansi, .

Umenena mkuu.Sasa mimi nachukuliaia mfano wa elimu tu

chukulia mfano au option moja katiya hizi

  • inatengenezwa DVD ya physics au ya chemsitry au hata hesabu na kila mwanafuzi anapewa au kuuziwa kwa bei nafuu au kauzimwa kama kitabu. Mfano wahizo video ni kama hii PH of weak acid
  • Shule sababu haina mwalimu au mwalimu hakueleweka vizuri inakuwa na Video rooom/VISUAL labratory .ambapo wanafunzi wanaweza kuwekewa Video ya topic fulani.
  • Mzazi/Mwalimu wa mwanfunzi Jonh au abdalah anayeshidwa hesabu anaeewakuwa kumbe kuna DVD video wa Probaiity /calcusyashling 1000tu inaweza kumsaidia mwanafuzi /mtoto wake

 
BAru baru

mbona maswali yako nimeeleza na nimeyayoea majibu toka mwanzo . Hao ICT speaciist sio tu Database,Networking auu software deveopment . Nitarudia tena kwa kunukuu niliyoleza labda utaniewa .


Kwanza usiffikirie sana from technical side(Dataase, Programming etc) Mimi naongelea zaidi from application side of ICT.


Hawa watalaam wa ICT ndio kazi yao itakuwa kushirikiana, kutoa ushauri na mapendekezo kwa taasisi mbali mbali za umma na binafsinaviundi mama bora zaidi ya kunufaikana na ICT. Katika mazingira fulani

Unaweza Kuuliza kivipi.Nimetoea mfano

  • google map-Ramani ya tanzania bado iko makabatini wakati kuingiza details ni bure.Utasema bado hatuna umeme?sasa wataalama kama hawanawa ICT ndio watashrikianaa na kushirikana na watalmu wa sekta nyingine( Kwa hii google map ni ardhi) mambo kama haya yafayiwe kazi


  • Hapa nafikiri ndugu yangu unazungumzia nafasi za Database operators ambao kazi zao ni kuingiza tu data katika program kitu ambacho kinaweza kufanywa na Secretaries tu na sio lazima mtu wa ICT.
Mimi naona ungejikita zaidi na kufikiria wataalamu wa GIS ambao ni mahsusi kwa kazi za location katika Ardhi.

Kifupi Tanzania nzima nafikiri wapo wawili tu, na mmoja yupo UCLAS na mwingine private na hiyo inatoa mianya mingi kwa wataalamu wengi kutoka nje a Tz akiwemo mwanangu kuja Tz kwa ajili ya consultation mbalimbali na support katika project mbalimbali zinazofadhiliwa na mashirika ya nje ya Tz


  • Nimetoa mfano wa elimu wa kurekodi practical za sayansi kwenye video. Tunakubalina video sio lazima iwe ya kanumba tu. Mapaka leo hata daresaaam jangwaniaa utambaaza bado mwanafuzi anakariri experimet ya manufacture ofsulphuerkwa maandishi.Miundo mbinu gani jangawani.,tambaza auinodonisecdnary wanasubiri zaidi ya awareness na cordination. Sio lazima internt


Nafikiri ulichoongea hapa hata University zenu bado kufikia hivi. Jiulize je SAUT university ya mwanza inafanya kitu kama hicho kwa vyop vyake vilivyopo mikoa mingine kama Dar au Mtwara. Tumaini University wanafanya hivyo kwa vyuo vyake vya Dar, Iringa na kwingineko.



Sasa kama imeshindikana kwa University , je itawezekana kwa skuli za msingi tena zile za pembezoni kama Lugufu, manyovu au hata kabanga na Lusumo.

Lakin vile vile cha kujitahidi kwa nchi yenu sasa ni kusomesha waalimu wao na kuwapa technolgy sahihi ili kwenda kuiwakilisha na kuwasomesha watoto. Na msingi mkuu siku zote uanzie University kisha secondary na mwisho skuli za Msingi.

Na nafikiri hili limeanza kwa msaada wa Nchi ya Norway ku sponsor course za Health Informatics huko UDSM kwa waalimu wa Universities na vitengo vya Serikali.






  • Wana saccos watabora au singida wanweza kuwa wanazalisha asali mbichi yanyuki lakini hawajui namna ya kupata soko bora la nje.Hawawataamandio kaziyokutoamwanga na kuwasadia.Elewa mtaalam kazi yake Sio kuwatafutia soko lakini kuwaelekeza namna mbalimbali wanazoweza kutumia kutafuta masoko ya nje kutumia fusra za ICT. Yaaaani awareness

Haya Tukija kwenye hizo database networks,Proggramming Huko nako wataaamwatakuwana input.Niliandika hivi



Sasa hivi hakuna link na cordination kwenye haya mambo . japo serikali imewekeza na inawekeza sana .Ndio manaa nimesema faida ya uwekezaji itishia kwenye internet cafe wakati kuna fursa ya kupata faida kubwa zaidi.

Naona tunazungumza katika diffent phases. Mimi nilikuwa nazungumzia zaidi mawasiliano baina ya wananchi wa kawaida na Serikali yao kupitia serikali za mitaa na baadaye serikali kuu. Na wewe unazungumzia katika level ya chini sana.Kwani kwangu mimi naona mfumo wenu wa Serikali za mitaa ni mzuri sana kuutumia au kutumika na Serikali yenu kupata taarifa mbalimbali za Afya, elimu, kilimo na mengine mengi kwenda Serikali kuu kuanzia kwa VEO kwenda kwa WEO na kufikia kwa DED kwa ajili ya utekelezaji.

Mfano kuna gonjwa kama kipindupindu au hata magonjwa ya mimea au mifugo, mtaalamu wa afya au mifugo wa Kata atawasiliana na mkuu wake wilayani na kama hali tete kupata msaada kutoka serikali kuu kwa maana wizara na kupata ufumbuzi. Hayo ni matumizi niliyokusudia mimi kwa manufaa ya wananchi.

Labda nikupe suala kidogo. Je umewahi kusikia taaluma ya MONITORING and EVALUATION. Je unajua kazi za hiyo taaluma ni nini katika jamii.
 
Unaonekana kufanya kampeni zaidi ili kupata ajira. Nimekupata ipasvyo na ninatambua kuwa ICT ni muhimu sana kwa maendeleo, lakini siamini kuwa hao unaowapendekeza ICT officer wa mikoa na wilaya watafanya chochote kupitia system hii tuliyonayo sasa. Hatua hii itakuwa kuwaongezea mzigo walipa kodi.

Itapendeza serikali ione namna gani ya kuwatumia ICT professionals kwenye mfumo uliopo sasa, kuna upungufu mkubwa wa wataalamu wa ICT kwenye authorities na taasisi za serikali. Maafisa wa ICT kwa ngazi za wilaya na mikoa watasaidiaje kuongeza chachu ya Tekinohama kwenye Authorities ili kuongeza ufanisi?
 
Unaonekana kufanya kampeni zaidi ili kupata ajira. Nimekupata ipasvyo na ninatambua kuwa ICT ni muhimu sana kwa maendeleo, lakini siamini kuwa hao unaowapendekeza ICT officer wa mikoa na wilaya watafanya chochote kupitia system hii tuliyonayo sasa. Hatua hii itakuwa kuwaongezea mzigo walipa kodi.

Itapendeza serikali ione namna gani ya kuwatumia ICT professionals kwenye mfumo uliopo sasa, kuna upungufu mkubwa wa wataalamu wa ICT kwenye authorities na taasisi za serikali. Maafisa wa ICT kwa ngazi za wilaya na mikoa watasaidiaje kuongeza chachu ya Tekinohama kwenye Authorities ili kuongeza ufanisi?

Swadakta.
 
Back
Top Bottom