Kikwete MUST resign [facebook page]

weee ndiyo ***** wa mabwege. Eti ku gain attention,, ili iwe nini? Tuondolee uvivu wako wa kazi, huna kazi za kufanya? Kafie mbele
 
kama wewe unaona hii sio democrasia tulia hakuna aliyerazimishwa kwenda huko kwenye hiyo page, kwa mfano mimi baada ya kuiona hapa fasta nimeshatimiza wajibu wangu kwa kwenda ku-like hiyo page maana hiyo ni democrasia yangu na wewe kama unaona haikufai kaa pembeni lakini hiyo page ikifikisha watu wa kutosha huyo mtu wako utamsikia vyombo vya vya habri vya kimataifa lazima vitataka kujua kulikoni na hapo ndio mambo yatamwagika maana tatizo litajulikana ni UFISADI

 
Nahisi Kuna watu wanatumia vibaya uhuru wao wa habari na Social Networks, Na pia naomba watu wa CHADEMA waje hapa watuhakikishie kama hizi link ni zao!,

Chama cha Demokrasia na Maendeleo | Facebook

Hiyo hapo juu nina mashaka kwa 100% kwamba Sio ya CDM that one am sure. kama wao ndio naomba wajitokeze na waseme najua wapo humu na wanasoma Post zetu

President Jakaya M. Kikwete MUST Resign | Facebook hii siikubali hata kidogo,

Kuna watu huenda wanataka kuichafua CDM au kuna wana CDM ambao ni watovu wa nidhamu.
 
.................Mimi nasema aachie mapema..
 
Mbona hujauliza zile pages za face book za jakaya kikwete kama ni zake kweli?
Hapo ukijibu kama ni zake wana chadema tupo tutajibu pia.
Ulimwengu wa teke linalokujia ndio huu mwenzangu, hata wewe unatumia jina fake lakini ujumbe unafika. Hilo ndilo la maana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…