UKAWA at al hatujaanza kampeni ya katiba bali tuko kwenye mijadala na midahalo kujadili rasimu ya katiba iliyobeba maoni yetu wananchi na kuwasilishwa na Jaji wariba pamoja na Rasimu ya katiba iliyowasilishwa na Chenge chini ya usimamizi wa Sitta.
Habari hii iwafikie UKAWA hasa CHADEMA,wananaharakati,na iliyokuwa tume ya Warioba ambao ni vinara wa kutozingatia sheria kabisa NA KUHESHIMU UTAWALA WA SHERIA.
WARYOBA sasa atulie MIKOCHENI na SIGARA zake.
WARYOBA sasa atulie MIKOCHENI na SIGARA zake.
Mh ! nawashauri watanzania wapigie katiba "ndiyoooooooo" Lkn wengine msiseme waipigie "hapanaaaa" muda wenu bado! Ni tz tu yapo haya