Domo Kaya
JF-Expert Member
- May 29, 2007
- 531
- 60
Ndugu wana Jf hivi yale mazungumzo ya Rais wetu na wananchi kila mwisho wa mwezi kupitia vyombo vya habari yamekwenda wapi???????? kuna mtu yoyote mwenye habari kwa nini Rais wetu hafanyi tena ya mazungumzo???? Au kachoka kuhutubia/kutoa ahadi hewa???????