Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Kwako ndugu yangu, namshukuru mungu kwa aliekuchagua anajua makusudi yake
Hakika wananchi wameumia wanateseka sana na wahuni wapiga dili viwanja vya watu
Hawa wahuni wana channel ndefu sana naamini mungu amekuleta kuwasaidia wananchi. Naomba kama inawezekana uonnane na wananchi hata mara mbili ama tatu kila mwezi
Hakika utahamaki si hivyo utaondoaa Makamishna wote waende mitaani kusikiliza wananchi
Wasaidizi wako wakuige watoke ofsini wasikilize shida za wananchi
Kuna wakati unakuta mhuni ana hati mwenye umiliki halali ana hati unawaza zimetoka serikali moja ama kuna watu wana..Zao
Mungu akupe mwanga kupambana nao na usikate tamaa tunaomba wananchi wazidi kukuombea upate mda wa kukutana nao kila maraa
Kuna ambao wakijua wanakuja hao wasaidizi kuruhusu wanakuta washakuzwa potezea huyo wananchi anaishia kulia
Allah akupe miaka mingi dunian
Hakika wananchi wameumia wanateseka sana na wahuni wapiga dili viwanja vya watu
Hawa wahuni wana channel ndefu sana naamini mungu amekuleta kuwasaidia wananchi. Naomba kama inawezekana uonnane na wananchi hata mara mbili ama tatu kila mwezi
Hakika utahamaki si hivyo utaondoaa Makamishna wote waende mitaani kusikiliza wananchi
Wasaidizi wako wakuige watoke ofsini wasikilize shida za wananchi
Kuna wakati unakuta mhuni ana hati mwenye umiliki halali ana hati unawaza zimetoka serikali moja ama kuna watu wana..Zao
Mungu akupe mwanga kupambana nao na usikate tamaa tunaomba wananchi wazidi kukuombea upate mda wa kukutana nao kila maraa
Kuna ambao wakijua wanakuja hao wasaidizi kuruhusu wanakuta washakuzwa potezea huyo wananchi anaishia kulia
Allah akupe miaka mingi dunian