MzeewaBusara,
Hakuna sehemu hata moja Mkapa alifanya la maana!...
Ukimyima mtu chakula atapata wapi nguvu ya kujenga nchi?... Labda tuseme kuwanyima watu kula kumetajirisha wengine na ndio mafanikio aliyokuwa akiyataka yeye!.
Unajuwa kuna mshikaji wangu mmoja alinunua kiwanja Mbezi miaka ya 80's tulimwona kafanya la maana sana lakini mshikaji huyohuyo hakuwa na plan ya kujenga kabisa. Leo hii kiwanja hichoi kimesimama nyumba ya mtu mwingine na kibali chake kinaonekana kuwa ndicho feki...
Hii ni mifano ya Mkapa na mikataba yake.... tunashindwa kuchukua IPTL na tutakuja shindwa Netgroup, Songo, Barricks na kwingineko kote kwa sababu wananchi walikubali mikataba hiyo kutokana na njaa!