Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,896
Rais Kikwete hali akijua kinachoendelea nchini, na khofu katika nafasi za matuko kama lile la kuwekwa wakfu na kutawazwa askofu wa Jimbo Katoliki la Mbinga kunaweza kutolewa tamko la kanisa juu ya serikali kutokana na hali tete inavyoendelea nchini, ameamu kwenda hudhuria ili kutia kiwingu cheusi maaskofu wasiteme cheche.