JK aliingia na mtandao wa RA, EL, 6 na wengineo...JK aliingia na hela za uchafu wa EPA na madudu mengine ikiwemo Richmond zilitokea katika kipindi chake na hivyo kuwa responsible kiasi fulani...Jk alishtukia nguvu za wanamtandao za kumtumia tu kupata madaraka makubwa zaidi haswa EL na akaanza kuwa na wasiwasi kuwa anaweza asistaafu kwa amani kwani EL alikua na malengo makubwa sana na asingeweza kumlinda kikwete kiuhakika pindi atakapobanwa na umma...Lowassa ni realist-populist anakutumia na akiona unakua mzigo anakutosa bila ya kusita...hii ilimtisha JK
Jk akamtosa EL uPM, akamgonganisha EL na 6....baadae akamtumia EL kumtoa 6 uSpika ambaye Jk alimuona ni tishio kubwa vile vile...hatujui nini kimewapata mwandosya na mwakyembe ambao wangekua tishio la JK 2015 na pindi akistaafu...
Pamoja na EL kumpa zigo la Richmond Jk juzi juzi hapa bado JK atacheka cheka na kununua muda wake kwa kuendeleza makundi huku akionekana mdhaifu wakati ana nguvu ya wananchama wengi wa kawaida...hatotaka kukigawa chama na endapo EL ataweka wafuasi wake wengi CCM 2012 atawabembeleza akina 6 wabaki wasijiondoe na kuingia upinzani kwa kuwapa moyo kwamba EL hapiti hapo 2015....
Ataendelea kununua muda hadi hapo 2015 ambapo atatumia nguvu yake kwa wanachama wa kawaida kumtoa EL katika mbio za urais na kumtuliza EL kwa kumfukuza kabisa 6 uanachama akiwa ameshapoteza umaarufu wake mkubwa huku akiwa hana muda wa kuanzisha chama chake mwenyewe...hapo atashinikiza mtu wake apite kati ya watu wake 3 au 4 atakaowana siyo tishio kwake....na huyu Jk ndiyo last man standing.... safari ni ndefu na walianza wote wakiwa na malengo makubwa lakini m1 tu atabaki kasimama....
Jk akamtosa EL uPM, akamgonganisha EL na 6....baadae akamtumia EL kumtoa 6 uSpika ambaye Jk alimuona ni tishio kubwa vile vile...hatujui nini kimewapata mwandosya na mwakyembe ambao wangekua tishio la JK 2015 na pindi akistaafu...
Pamoja na EL kumpa zigo la Richmond Jk juzi juzi hapa bado JK atacheka cheka na kununua muda wake kwa kuendeleza makundi huku akionekana mdhaifu wakati ana nguvu ya wananchama wengi wa kawaida...hatotaka kukigawa chama na endapo EL ataweka wafuasi wake wengi CCM 2012 atawabembeleza akina 6 wabaki wasijiondoe na kuingia upinzani kwa kuwapa moyo kwamba EL hapiti hapo 2015....
Ataendelea kununua muda hadi hapo 2015 ambapo atatumia nguvu yake kwa wanachama wa kawaida kumtoa EL katika mbio za urais na kumtuliza EL kwa kumfukuza kabisa 6 uanachama akiwa ameshapoteza umaarufu wake mkubwa huku akiwa hana muda wa kuanzisha chama chake mwenyewe...hapo atashinikiza mtu wake apite kati ya watu wake 3 au 4 atakaowana siyo tishio kwake....na huyu Jk ndiyo last man standing.... safari ni ndefu na walianza wote wakiwa na malengo makubwa lakini m1 tu atabaki kasimama....