Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
Hi! Wana jf
najaribu kutafakari na kujiuliza sipati majibu.nimezoe kila ifikapo mwisho wa mwezi jk anakawaida ya kuhutubia taifa.hotuba ambayo mara nyingi hujibu maswali ambayo wananchi wanasubiri kwa hamu tamko lolote toka kwa raisi,hii ilinipelekea mimi pengine hata kwa watu wengine kusubiri kwa hamu rais angesema nini juu ya dowans ktk hotuba yake ya kila mwezi kwa kua amekua kimya toka fukuto hili lianze,fukuto ambalo limemtoa nyoka pangon,namaanisha mama malia nyerere nae kapaza sauti.lakin tegemeo langu la hotuba halikwepo najiuliza jk amepanga safari kwa kukwepa jukumu?kutoa hoja juu ya dowans?mi bado sijaelewa.japo sitegemei jibu la dowans kutokulipwa kwakua watendaji wake wanasema dowans ilipwe hali ambayo lazima tuanzishe timbwili
najaribu kutafakari na kujiuliza sipati majibu.nimezoe kila ifikapo mwisho wa mwezi jk anakawaida ya kuhutubia taifa.hotuba ambayo mara nyingi hujibu maswali ambayo wananchi wanasubiri kwa hamu tamko lolote toka kwa raisi,hii ilinipelekea mimi pengine hata kwa watu wengine kusubiri kwa hamu rais angesema nini juu ya dowans ktk hotuba yake ya kila mwezi kwa kua amekua kimya toka fukuto hili lianze,fukuto ambalo limemtoa nyoka pangon,namaanisha mama malia nyerere nae kapaza sauti.lakin tegemeo langu la hotuba halikwepo najiuliza jk amepanga safari kwa kukwepa jukumu?kutoa hoja juu ya dowans?mi bado sijaelewa.japo sitegemei jibu la dowans kutokulipwa kwakua watendaji wake wanasema dowans ilipwe hali ambayo lazima tuanzishe timbwili