Kidudu Mtu
Member
- Nov 7, 2009
- 64
- 0
Kumekuwa na kauli tata kutoka kwa viongozi mbalimbali kuhusiana na uongozi wa Rais Kikwete. Kuna wanaomsifu na kuna wanaomkosoa.
Tukiweka ushabiki wa kisiasa pembeni na kuweka uzalendo mbele, je Rais Kikwete ni kiongozi bora au mbabaishaji? Jadili ukiweka bayana yanayokufanya useme hivyo.
Tukiweka ushabiki wa kisiasa pembeni na kuweka uzalendo mbele, je Rais Kikwete ni kiongozi bora au mbabaishaji? Jadili ukiweka bayana yanayokufanya useme hivyo.