kagamba kadogo
Senior Member
- Apr 24, 2011
- 178
- 13
Baada ya semina elekezi yaonekana JK sasa ameamua kusawazisha mambo. Wapinzani kaeni chonjo
Baada ya semina elekezi yaonekana JK sasa ameamua kusawazisha mambo. Wapinzani kaeni chonjo
rekebisha title yako mkuu, maneno haya mbona tumeyasikia tangu hujazaliwa na bado hakuna jipya? Badala ya kusema OSAMA we unasema OBAMA? huku ndo kuchanganya habari huwezi kumlinganisha mcheza kiduku na urembo na mchapakazi kama Obama. Labda umlinganishe na yule loser wenu OSAMA because their difference is their similarity!
Baada ya semina elekezi yaonekana JK sasa ameamua kusawazisha mambo. Wapinzani kaeni chonjo
Baada ya semina elekezi yaonekana JK sasa ameamua kusawazisha mambo. Wapinzani kaeni chonjo