BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,011
Nabii hakubaliki nyumbani, JK anaweza sana, ndiyo maana pamoja na fitina, chuki binafsi, wivu, uchu wa madaraka ya baadhi ya watu, hujuma dhidi yake, yote hayo hayamnyimi usingizi na bado tunasonga mbele kwani angekuwa mtu wa papara ungesika mara fungia gazeti fulani, mara kamata yule weka ndani kwa kumkashfu Rais n.k. BIG UP JK.
Dah!!!! Ukistaajabu ya Mussa utaona ya magamba!!!!! Eti Kikwete anaweza sana! pamoja na ushahidi chungu nzima ambao unaonyesha kwamba Urais umemshinda tena kwa kiwango kikubwa sana.