Hute
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,537
- 6,479
naangalia hapa live mkuu wa kaya akiwa lindi, ametoa mojawapo ya mafanikio kuwa "TUMEJENGA SHULE ZA KATA", amesahau kuwa shule hizo zilijengwa kwa nguvu ya lowasa, na tangu ajiuzulu hawajaziendeleza miaka 8 imeisha. hivi nani wa kuchukua credit kwenye suala la shule za kata? lowasa ameingia miaka miwili kafanya mabadiliko rundo, akajiuzulu na yote aliyokuwa ameyaanzisha hayajaendelezwa hadi leo.
Jaribu kutafakari.
Jaribu kutafakari.