Kikwete & CCM mbona mnaikacha Houston, Tx?

Kikwete & CCM mbona mnaikacha Houston, Tx?

SHERRIF ARPAIO

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2010
Posts
9,539
Reaction score
5,923
JK na watu wa sirikali yako esp. CCM, mbona mkija huku ughaibuni mnaishia DC tu na tukiwaalika mje Houston, mnakacha. Lakini mkialikwa Minneapolis, NY, CA etc mnaenda.
Tumeujulisha ubalozi wa Tanzania hapo DC kuwa mheshimiwa akija na aje H-Town, tuko tayari kumlipia mafuta ya jet yake, navigation & parking fees, chakula na malazi yake na delegation yake...lakini JK na CCM wote mnaogopa H-town. Kulikoni?
 
Hakuna mwana siasa Duniani ambaye haigopi Texas, from Sadaam to Kikwete!. Deal zote chafu zinaanzia Texas Richmond iko wapi? Texas!. Watu wa Houston hawacheki hivyo kikwete hawezi kuja hapa wakati hana majibu ya uhakika anapenda watu wanaovaa bendera na kucheka kila wakati. Tanesco inataka kuongeza bei ya umeme wakati jamaa wa Richmond yuko hapa anakula pesa ya Watanzania kikwete hataweza kujibu maswali Texas is too real for him. Mikataba ya mafuta yote inatoka hapa Houston, TX,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom