SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,923
JK na watu wa sirikali yako esp. CCM, mbona mkija huku ughaibuni mnaishia DC tu na tukiwaalika mje Houston, mnakacha. Lakini mkialikwa Minneapolis, NY, CA etc mnaenda.
Tumeujulisha ubalozi wa Tanzania hapo DC kuwa mheshimiwa akija na aje H-Town, tuko tayari kumlipia mafuta ya jet yake, navigation & parking fees, chakula na malazi yake na delegation yake...lakini JK na CCM wote mnaogopa H-town. Kulikoni?
Tumeujulisha ubalozi wa Tanzania hapo DC kuwa mheshimiwa akija na aje H-Town, tuko tayari kumlipia mafuta ya jet yake, navigation & parking fees, chakula na malazi yake na delegation yake...lakini JK na CCM wote mnaogopa H-town. Kulikoni?