CCM Houston, Tx 2011: Dowans walipwe hela yao ASAP!

VUVUZELA

JF-Expert Member
Jun 19, 2010
3,103
785
Viongozi wa Muda wa TAwi na Viongozi wa Shina no 1 Houston, Texas


Katibu wa Tawi wa Muda akimpongeza Mwenyekiti wa shina no 1 Houston Cassias Pambamaji mara tu baada ya ufunguzi wa shina hilo katika sherehe hizo

Da Zainab pia alikuwepo
Hongera mwanachama mpya
Hongera sana kwa kujiunga na CCM
Uongozi wa Shina na Tawi la Houston, USA

Tuko Juu!
CCM Juu Juu Juu zaidi!
CCM Oyee!
OYeee!
Mwenyekiti wa muda wa Tawi Novatus Simba akimpongeza mwanachama mpya mara baada ya kuchukua kadi yake
Kaka Juma Maswanya pia alikuwepo
Wanachama wakiwa na sura za Furaha
I likuwa ni furaha tupu
Hongera saaana!
Mwanachama mpya na Viongozi wa Muda Maswanya,Simba, Kitogo
Secky Adadi akichukua kadi kwa furaha tele

Kila mtu alikuwa happy!
Chacha Mussa Akipokea kadi yake
Hongera LBT!
Da zainab akiwa mwenye furaha tele
Katibu akitoa kadi kwa mwanachama mpya huku viongozi wengine wakiangalia
Green and Yellow!
Karibu sana kundini!

Ilikuwa ni nderemo na vifijo kwenye mnuso wa nguvu ktk kuadhimisha miaka 34 ya kuzaliwa kwa CCM huko Houston, TX siku ya J'mosi February 05, 2011
 
NGUVU YA UMMA TUNAKUJA KUWATOLEENI MAAMUZI MAZURI ZAIDI KWENYE KILA SWALA LA GHILIBA FITINA NA USALITI WOWOTE UTAKAOTOKEA HAPO BUNGENI WALA MSIWE NA WASIWASI; MACHO YOTE KWENU

 
inaelekea dau walilopewa na mafisadi ni kubwa..mtu mzima kuuza utu wake si utani..my foot!!
 
Kwanza nina wasiwasi kama ni wabongo hawajamaa. Na ndio maana uraia wa nchi 2 hatuutaki kwani tumegundua kuna wauza sura wako huko nje wanajifanya watz :twitch:!!!
 
Jamani siasa zina hisia nyingi, mzuka upo, chuki, furaha, majungu, wivu, waacheni. Kama ninyi mna chama chenu mkipendacho basi waacheni nawao wapende chao. Ikibidi muwakosoe kwa sera zao au misimamo yao yakiitikadi na kimsingi. Hisia pelekeni kitandani kwa wake zenu. Dont be emotional people.lol And wapi wamesema Dowans walipew? That is bullshit.
 
Back
Top Bottom