Watanzania
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 727
- 42
Tatizo kwa sasa ni ninyi VIONGOZI. Hakuna mbadala wa JK kwa sasa. Jipangeni upya. Kule Uingereza Conservatives wamehangaika sana kumpata mbadala wa Tony Blair. Sasa wamempata Cameron na watachukua uongozi wa Nchi hata kama uchaguzi ungeitishwa leo!
Utafiti uliofanyika hauakisi hali halisi. Uongozi wa JK umekuwa mbovu mno katika historia ya Tanzania. Hakuna maamuzi kwa maslahi ya taifa-nchi yetu sasa ni kama gari linalotembea bila dereva.
Pia nakubaliana na waliosema kuwa ni vizuri kujua chanzo cha waliotoa tayarifa za utafiti ni watu gani hasa na walichaguliwa vipi kujumuishwa katika utafiti. Isije ikawa ni utafiti uliofamyika ukiwa na muelekeo wa kutoa majibu mazuri kwa JK.