Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,785
Mkuu;
Millenium si ya JK. Ni ya kijana mwenzetu Mpande. Ila yuko katika good terms na JK. Wote wanatoka huko.
Mpande yupi? mwalimu wa nidhamu Moshi Technical?
Mkuu;
Millenium si ya JK. Ni ya kijana mwenzetu Mpande. Ila yuko katika good terms na JK. Wote wanatoka huko.
Mheshimiwa mwacheni kumtia midomoni kila saaa na dakika jamani? Chuki hizo zote ni za nini kwakeeeeee, nimewauliza wazenji juu ya habari hii wanasema JK hana hata Kioski Zanzibar sasa haya ya hoteli jamani mmeyapata wapiii au ndio kuendeleza Chuki kwa Muungwana wetu huyu kwa ni wa pwaniiii? hamumsemi MKAPA mwenye Kiwira, Lowassa mwenye Richmond, Sumaye mwenye ekari zaidi ya 1000, Mzindakaya mwenye mashamba na Viwanda au kwa kuwa hawa ni Wabaraaa ni halali kwao Kutuibiaaa.
MTU AKITAKA SEMA HUTAZAMA YALOYAKE
AKAZUNGUKA KWA NYUMA KUTAZA YALOKWAKE
HAINUKI KUSIMAMA KUTANGAZA YA WENZAKE
NAMUMKOMEEEEEE WAJAAAA NAMUMKOMEEEEEE
kuliko kuiba na kuweka Ulaya sii mbaya kujenga Hoteli Tz wananchi wakapata kazi!
hata majumba ya ajabu2 ya Mkapa kule Lushoto na Mwinyi Zenj..wangelijenga mahoteli kuimarisha sector ya utalii wangeonekana watu wa maana!!
Wizi ni kitu mbaya..au kama ni mkopo ni poa..ila basi bora uwekeze ktk productive activities tena Tz!
kuliko kuiba na kuweka Ulaya sii mbaya kujenga Hoteli Tz wananchi wakapata kazi!
hata majumba ya ajabu2 ya Mkapa kule Lushoto na Mwinyi Zenj..wangelijenga mahoteli kuimarisha sector ya utalii wangeonekana watu wa maana!!
Wizi ni kitu mbaya..au kama ni mkopo ni poa..ila basi bora uwekeze ktk productive activities tena Tz!
Nasikia Rais anategemea kujiuzulu kesho!
we acha utani utaniua kwa furaha.Nasikia Rais anategemea kujiuzulu kesho!
Ndio maana JK mwenyewe awezi kukemea wenzake because he is also part and parcel of Ufisadi. Kwani ni hiyo tuu laa hasha. Mbona anajenga hotel kubwa tuu huko Serengeti yeye na Lowasa ? Atawezaje kukemea Rostam na wengineo kama mwenyewe ni fisadi??? He is also in the process of graping his before his turn ends. Yani inabidii waTanzania sasa wawe ujasili na kusimama kidete kwa hao viongozi.
Mbona Mkapa na ufisadi wake yote JK amekaa kimia? Yeye anatali tuu ajali hata wananchi wake kabisa. Sijui sera zake anasemaje kwetu sisi kwa sababu atuoneni maisha bora kabisa. Atoeleze baana.
akijiuzulu natembea uchi wa mnyama toka mwenge mpaka postaNasikia Rais anategemea kujiuzulu kesho!
vimada vikianza kutajwa mtasema yeye muislam ruksa wake wengiKujenga hoteli ni ufisadi? Ulitaka aweke vimada. Kuwa rais usiwekeze? Vipi mboa mlateta sera za akina warioba ?
vimada vikianza kutajwa mtasema yeye muislam ruksa wake wengi
jamani muacheni mzee wa watu apumzike kwanza hata mshono haujakauka duu mmemshikia bango kama miss tanzania mpaka akaachia tajiVimada viko vingi tu,ikibid tuanze kuviweka humu