real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,287
Rais Mstaafu, Dkt Jakaya Kikwete amemtembelea na mwanasiasa mkongwe Kingunge Ngombale Mwiru nyumbani kwake leo
Mzee huyo ameruhusiwa leo kutoka katika hospitali ya Taifa Muhimbili, baada ya kulazwa kwa takribani wiki moja na anatarajiwa kushiriki mazishi ya mkewe kesho
Mzee huyo ameruhusiwa leo kutoka katika hospitali ya Taifa Muhimbili, baada ya kulazwa kwa takribani wiki moja na anatarajiwa kushiriki mazishi ya mkewe kesho