Kwa sasa mama, HAWAPO. Hapo awali/zamani kidogo walikuwepo Wawili MURTAZA LAKHA na ISSA SHIVJI Watanzania wenye asili ya Kiasia. Waliobaki Chai rangi mkate mkavu!!!hivi Bongo wanasheria wapo??
Bila ya kuingia msituni hakuna haki itakayopatikana. Naona maneno matupu hayazai kitu.
Huko msituni wataenda kuandaa revenge ya unyama kama waliopfanyiwa hawa wachimbaji kwenye pichaHuko misituni mnataka kwenda kulina asali ama kutafuta kuni?