Ajiamini wampige ESCROW?JK Kiongozi anyejiamini
Waliomfuata baada yake wako very insecure
Mmoja akaamuru Lissu amiminiwe risasi auawe
Mwingine kampa Mbowe kesi ya Ugaidi
Yaani wanatumia miguvu miiingi badala ya kujibu hoja kwa hoja
Mkuu mimi naamini Jk alilijibu, lakini msahihishaji wa jibu lake hajatupatia majibu, kama jibu ni sahihi ama sio sahihiSwali gumu kwa Kikwete: FEDHA ZA ESCROW NI MALI YA SERIKALI AU SINGASINGA NA RUGEMALILA? hatoweza kujibu hadi anaingia kaburini.
mzee alikuwa na uwezo sana kustahimili mikikiEnzi za JK kulikuwa kunaibuka Agenda tata sana mwenyewe anasafiri zake kama mwezi watu wanaongea wanapambana wao kwa wao kila mtu anakuwa na mtizamo wake. Siku anarejea waandishi kibao airport wanamuuliza Mh hili suala vipi anawajibu hata mwenyewe ndo nalisikia saa hii
Dah nimemkumbuka Mzee Jakaya sometime alikuwa anaepusha shari kwa usanii tu, kumbe anawachora tu . Sisi wengine kinatushinda nini tukisemwa na kukosolewa tunachukia kabisa na kuamua kupotezana kabisa.
Ha ha ha haMkuu mimi naamini Jk alilijibu, lakini msahihishaji wa jibu lake hajatupatia majibu, kama jibu ni sahihi ama sio sahihi
Angekua hajiamini na kilaza kwa hizi kelele zenu za week nzima angeshaamrisha Abubakar aachiwe, kapiga zake kimya anaendelea na mishe zake za kuwatumikia waTZ, nyie tukaneni hadi mchoke, Abubakar sasa yupo Segerea na anaweza kula 30yrs or maisha kabisa. Endeleeni na matusi yenu, hayana impact yeyote kwake na kwa wananchiMwanamke hajawahi kujiamini hata siku moja, Ukimpinga anadhaΓ±i ni kwa sababu ya jinsia yake.mama yenu hajiamini na ni kilaza
Matokeo yake tuliyaona 2015. Kama hiyo ni siasa basi siasa kichaa.JK siasa ipo kwenye damu
Mh. Tundu Lissu hakujeruhiwa na Serikali, hata yeye mwenyewe anajua hilo ila hataki tu kusemaJK Kiongozi anyejiamini
Mmoja akaamuru Lissu amiminiwe risasi auawe
Asanteni Sana. Comment zenu ziwe fupi fupi hivi hivi ila mwishoni muwe mnaongeza tule tuneno JK ni dhaifu na nchi ipo OutoPilot.JK Kiongozi anyejiamini
Waliomfuata baada yake wako very insecure
Mmoja akaamuru Lissu amiminiwe risasi auawe
Mwingine kampa Mbowe kesi ya Ugaidi
Yaani wanatumia miguvu miiingi badala ya kujibu hoja kwa hoja
Hivyi yule Ulimboka aling'olewa meno,kucha,kwenye utawala gani?Enzi za JK kulikuwa kunaibuka Agenda tata sana mwenyewe anasafiri zake kama mwezi watu wanaongea wanapambana wao kwa wao kila mtu anakuwa na mtizamo wake. Siku anarejea waandishi kibao airport wanamuuliza Mh hili suala vipi anawajibu hata mwenyewe ndo nalisikia saa hii
Dah nimemkumbuka Mzee Jakaya sometime alikuwa anaepusha shari kwa usanii tu, kumbe anawachora tu . Sisi wengine kinatushinda nini tukisemwa na kukosolewa tunachukia kabisa na kuamua kupotezana kabisa.
Hivyi yule Ulimboka aling'olewa meno,kucha,kwenye utawala gani?
Hivyi Mwakyembe alinyonyoka nywele enzi zipi?
Vipi Mwangosi ilikuwa utawala wa Jiwe?
ππLakini Mzee hakusema kitu aliuchuna. Hata angeulizwa angesema Yeye Mwenyewe hajui ndo anasikia.
Mbona alijibu kuwa si fedha za serikali.Swali gumu kwa Kikwete: FEDHA ZA ESCROW NI MALI YA SERIKALI AU SINGASINGA NA RUGEMALILA? hatoweza kujibu hadi anaingia kaburini.
Wakati wewe unashangaa kukamatwa, mimi nashangaa ushahidi kutokamilika wakati zimeshapita takribani Siku 1470 tangu wafikishwe mahakamani!!Sasa kwanini Ruge na Singasinga wakamatwe?
Angetaja kivipi wakati yeye ndiye angekuwa mhusika mkuu?Unaikumbuka ile ya Escrow, nchi nzima inamsubiri Rais atoke kwenye matibabu ya tezi dume Marekani ili atoe neno lake..
Akafika Airport akaongea kuhusu ugonjwa wake ulivyoanza, alivyoiaga familia yake, alivyopokelewa na kutibiwa Marekani, kisha akaaga na kuelekea Ikulu, hakutaja neno Escrow hata mara moja..
Mnapenda mnavyofanyiwa usanii eehJK siasa ipo kwenye damu
Yule aliitwa mezani wazungumze madai yao ya madaktari akawa analeta shoboHivyi yule Ulimboka aling'olewa meno,kucha,kwenye utawala gani?
Hivyi Mwakyembe alinyonyoka nywele enzi zipi?
Vipi Mwangosi ilikuwa utawala wa Jiwe?
Lakini Mzee hakusema kitu aliuchuna. Hata angeulizwa angesema Yeye Mwenyewe hajui ndo anasikia.
Mwingine akaamua Dr Ulimboka ang'olewe meno, mwingine akaamua mwangosi apigwe bomu, mwingine tena akawavunja kina Dr Slaa mikono na Lipumba kishushiwa mkong'oto havy.JK Kiongozi anyejiamini
Waliomfuata baada yake wako very insecure
Mmoja akaamuru Lissu amiminiwe risasi auawe
Mwingine kampa Mbowe kesi ya Ugaidi
Yaani wanatumia miguvu miiingi badala ya kujibu hoja kwa hoja