Kikwete akagua Mradi wa Maji!

Kikwete akagua Mradi wa Maji!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,838
IMG-20151230-WA0103.jpg


IMG-20151230-WA0101.jpg


IMG-20151230-WA0096.jpg

IMG-20151230-WA0102.jpg

IMG-20151230-WA0100.jpg


IMG-20151230-WA0098.jpg


IMG-20151230-WA0107.jpg
 
Last edited by a moderator:
Yaani nchi ilimshinda kwa miaka kumi na leo anayemfuata kila uchao anaibua madudu yeye bado anakaa mbele ya kamera eti ana kagua mradi?
Atulie huko Msoga.
 
Anatekeleza ilani ya chama na yye ndo mwenyekiti wa chama.Wao kufanya jambo ambalo ni haki ya watanzania wanaita kutekeleza ilan
 
JK sijui kichwani mwake huwa anawaza nini? Anapenda attention ya media sana
Wewe mwenyewe mbona unapenda sana attention. Kutwa nzima unashinda hapa JF kuandika vitu visivyoeleweka alimradi tu tukuone na hilo likofia lako feki la kicowboy na mijidevu kama gaidi; hovyoo. Muacheni Kikwete. Akague miradi au asikague miradi wewe kinakuuma nini?
 
Inabidi tumfungulie instagram account yake hawe anatuma SELFIE kwa maana naona yupo addicted to fame and power.
 
Last edited:
Nimeangali na kufuatilia mambo nimegundua Tanzania yangu ina serekali Mbili.Moja tunaijua ambayo ni halali na nyingine inafanyia kazi mafichoni.Hii ya mafichoni muda si mrefu kama system haitaikemea inaimeza serekali halali muda si mrefu.Tuupe muda wakati.
 
Naombeni mumuache mzee wangu afanye kazi zake. Hapa kazi tu nae anatekeleza si kaenda kukagua tatizo liko wapi kwani?

Tuna wakuu wa nchi wangapi???Au ni Waziri wa Maji siku hizi???
 
Nimeangali na kufuatilia mambo nimegundua Tanzania yangu ina serekali Mbili.Moja tunaijua ambayo ni halali na nyingine inafanyia kazi mafichoni.Hii ya mafichoni muda si mrefu kama system haitaikemea inaimeza serekali halali muda si mrefu.Tuupe muda wakati.

Kwa sasa ndiyo inayofanya kazi kwa njia ya Panya
 
Back
Top Bottom