RockSpider
JF-Expert Member
- Feb 16, 2014
- 6,859
- 2,758
Viroba vinakusumbua wewe si bure! Tunajua kuwa Kamuhanda alipanda Cheo baada ya kumwaga Utumbo wa Daudi Mwangosi hadharani!! Mmeendelea Kuua Pemba, Zanzibar, Morogoro, Arusha, Igunga, Tarime, Morogoro, Dar nk... JK aangalie sana maana ICC inamsubiria kwa ujinga wa vidampa wa CCM kama wewe na wenzio ...
Kikwete akitoa mrejesho kwa polisi amesema anawapa hongera sn."hatuwezi kuvumilia watu kuvunja sheria za nchi". amenukuliwana magazeti ya Leo
my take
Lipumba ikulu unaenda kufata nn? umeshajibiwa labda km unataka statehouse juice and delicious lunch.