uongozi wa jk ni mfano wa kuigwa kwa afrika na duniani kote safi sana jk tweenzetu.
ungeandika Hivi;rais Kikwete Ni Mfano Wa Kuigwa Kwa Ccm Na Familia Yake
uongozi wa jk ni mfano wa kuigwa kwa afrika na duniani kote safi sana jk tweenzetu.
Hamshindi Uyu Wa Jemani
Lipumba alisema atenda kuwashitaki polisi kwa rais kikwete kuwa walimpiga nadhani asipoteze mda kwenda huko atapigwa tena naona jk hataki ujinga kwa sasa.
uongozi wa jk ni mfano wa kuigwa kwa afrika na duniani kote safi sana jk tweenzetu.
JK ni muwazi kabisa. Amejibu swali ipasavyo
Unajua maana ya IQ, mkuu ?
Mkuu wewe sifuri kabisa kuliko hata mbowe unadhani akili ya kikwete mnaweza kumfikia hata kama mtajikusanya familia yenu yote?ungeandika Hivi;rais Kikwete Ni Mfano Wa Kuigwa Kwa Ccm Na Familia Yake
Tatizo lipumba hata huo uongozi hachaguliki labda awe rais wa chaneta au baraza la maganga wa jadi.Hicho ni kiburi tu cha CCM kwa kulewa madaraka ............................. huko Kenya enzi za Kenyata kuna askari wa Kikuyu aliwahi kumpiga Moi bakora kwenye road block tena wakati akiwa makamu wa Rais. Imagine, nothing happened to him!! Baada ya Moi kuupata Urais jamaa ilibidi aachie ngazi mwenyewe .....................!!! There is always a payback time!!
Tatizo lipumba hata huo uongozi hachaguliki labda awe rais wa chaneta au baraza la maganga wa jadi.
Tatizo lipumba hata huo uongozi hachaguliki labda awe rais wa chaneta au baraza la maganga wa jadi.
Mkuu wewe sifuri kabisa kuliko hata mbowe unadhani akili ya kikwete mnaweza kumfikia hata kama mtajikusanya familia yenu yote?
Kapime IQ, mkuu